Sifa za wanawake/wadada wanene

Size ipi 40, 50? chukulia Mh Dr Rev Rwakatare ni size 30

Duh! hiyo nouma, mi nilichokuwa nakijua ni Rev. basi, hayo mengine, mh! ila hongera yake, 3 in 1))))
Hapo kwenye size sidhani kama wa dizain zaidi ya Rev. ndo tunaowazungumzia hapa!
Samahani kama nimekukwaza!!
 
Kaazii kweli kweli. Usimfanye mdada wa watu akakata tamaa. Wewe mwembamba si unajua tabia zako? unahitaji The Boss au Chrispin akuambie una tabia gani?
Kwa kweli nina kipaji cha kutambua wasifu wa watu.

FP hebu nielekeze wasifu wako nikutwange masifa yako mama.
 
Basi na hizi ndio madhara ya kuwa nao:
1. Atawasamehe ma ex- wake wote, hivyo kamwe hautokuwa peke yako, bali utakuwa umeongeza idadi tu.
2. Atawaomba msamaha hata ma ex- wake, ili aendelee kujivinjari nao daima.
3. Huenda pia akikuacha basi hutamuona tena maishani mwako
4. Ole wako ampate aliyempenda zaidi yako, utajuta kumfahamu.
5. Rejea namba 2 hapo juu.
6. Hata wakibanwa kwenye korido wanakubali yaishe.
7. Hivyo sio wachapakazi, na akimpata mtu hutamng'atua kamwe.
8. Hata akiitwa baa usiku hagomi kwenda hata siku moja, na akiambiwa fanya hivi, anafanya shap.
9. Hivyo, hata machokora wanapata access.
10. Hata kupika, kuoga, kutandika kitanda, nk.... wanasahau kwa urahisi mno.
Kweli JF is home of Great Thinkers
 
Kwa kweli nina kipaji cha kutambua wasifu wa watu.

FP hebu nielekeze wasifu wako nikutwange masifa yako mama.

Hahaha haaaaaaaa, mi huwa naogopa masifa Chrispin. maana wakaka nyie huwa mnawapa masifa wadada hata ambayo siyo yao, basi mnawafanya wawe na vichwa vikubwa na kujaa viburi kwa masifa yasiyo yao.
 
Hahaha haaaaaaaa, mi huwa naogopa masifa Chrispin. maana wakaka nyie huwa mnawapa masifa wadada hata ambayo siyo yao, basi mnawafanya wawe na vichwa vikubwa na kujaa viburi kwa masifa yasiyo yao.
Hahaha! Umestukae?

Nilikuwa kimaslahi zaidi!
 
Yaani kushtukia huwa ni jambo la kawaida sana kwangu, inabidi kusoma alama za nyakati sio kwenda kichwa kichwa tu.
Kule jimboni kwetu tunahitaji mbunge makini. Nikuchukulie fomu? Ntakuwa kampeni meneja wako.
 
Wanawake wanene wavivu sana kitandani, mara nyingi hupiga mayowe pasipo kujituma. Hovyo sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom