Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Watu wanajaribu kila siku kuona kama mtandao unashika hata bar moja.hahaaa huo mtandao not reachable bana, hiyo miwani lensi zimezeeka tafuta nyingine....
siku watabahatisha!! ohhhoooooo!
Watu wanajaribu kila siku kuona kama mtandao unashika hata bar moja.hahaaa huo mtandao not reachable bana, hiyo miwani lensi zimezeeka tafuta nyingine....
Watu wanajaribu kila siku kuona kama mtandao unashika hata bar moja.
siku watabahatisha!! ohhhoooooo!
too personal!Size ipi 40, 50? chukulia Mh Dr Rev Rwakatare ni size 30
Watu wanajaribu kila siku kuona kama mtandao unashika hata bar moja.siku watabahatisha!! ohhhoooooo!
mhh.
sasa naanza kuamini umetoroka rehab!!
Mie siamini kama ni kweli, kila mtu ana tabia yake si mnene wala mwembamba.
sasa hiyo unaona ni shortfall ya mtu mwembamba au BHT??
hebu muulize JS tusikie jibu.....hahaaaa lol!!
hukunijibu swali hili..
we ni mzenji??
nina weakness na wadada wa kizenji.
JS,,maoni yako please...
nafuatlia hayo mazungumzo ya huo mtandao unaopanuka. nashtuka,wasije kukujaribu tu.......
usiniuzie kesi masa,
nafuatlia hayo mazungumzo ya huo mtandao unaopanuka.
nashtuka,wasije kukujaribu tu.......
firstlady..
ukichukua wanawake kumi wanene
unakuta wanatabia zinazofanana...
na ukichukua wembamba kumi utakuta
the same,wembamba hasa tabia ya kuwa selfish.......
kwani mimi ni instrument mpaka nifanyiwe majaribio
sifa yangu mojawapo ni kuwa najua kukomaa na misimamo yangu....hijalishi nani anaionaje as far as haivunji sheria za Muumba wetu....
shaka ondoa huyo Masa wee mwache tu.....!!!!
tafadhali bana usiwe mnyimi kitu kama unacho!