sifa za wanaume wenye vitambi

sifa za wanaume wenye vitambi

Brother boss naomba uni pm mkuu... Unaondoa vipi kitambi.. U want to get rid of it pia
 
no .1...utafiti uliofanywa na taasisi mbalimbali duniani unaonyesha katika kila wanaume 10 wenye vitambi 8 wanamiliki nyumba ndogo.
no 2......pia ilibainika wanaume wenye vitambi wana ushawishi mkubwa kwa wanawake yaani wanakubaliwa haraka..labda wanawake wanadhani hivo vitambi vyao vimesheheni mifwedha na kuwakataa ni sawa na kupiga gunia la hela pesa.kwa hiyo huwa wanakubaliwa haraka sana.
no 3........wanaume wenye vitambi wanajali sana nyumba zao ndogo kuliko hata familia zao...hawaogopi lolote wakihamia ni wamehamia...kwao liwalo na liwe
no 4......wanaume wenye vitambi ni wafujaji wa hela kwa kifupi sio watu wa kuujali saana kuhusu utoaji wao...kwao chop chop money i don care ndo kauli mbiu yao...
no 5.....wanaume wenye vitambi hawana
no 6....wana bahati ya kupata hela .wengi wana hela hela ila ndo hivo zinaishia kwa wanawake...misosi na pombe na michemsho.
no 7....ziro in bed
source.saloon ya wamama!
Aione Bujibuji na Asprin
 
Last edited by a moderator:
What is this? Licentious chit-chat of sorts?

I just don't want to be accused of bringing the Large Hadron Collider to kill a fly.
 
Smile , unakubali nyundo ya Large Hadron Collider kutoka CERN Geneva outskirts ikushukie au ulikuwa unaleta porojo za Mzee Jongo tu hapa?
haya bana,mwenge kisu kikali ama swiss knife ndo hula......
Smile aka
 
Last edited by a moderator:
Nanii zao ni ndogo kama kidole cha mwisho, wanapenda style za kukaliwa kwa kuwa wanaamini ndio wanamfikisha mwanamke atakapo, wanawanawake wengi kwa tatizo la kutokujituma kwao huogopa kuachwa inabidi kuwa na nyumba ndogo nyingi zaidi, huwa ni bahili sana hata kama anapesa nyingi hatoi izo ni sifa zingine za wenye vitambi, bila kusahau wanakoroma sana utadhani wametoka kulima baada ya bao moja tu la dk 5
Inaonyesha una kauzoefu!!!!
 
Back
Top Bottom