Kivipi hapo The Boss?
wazani kulea kitambi mchezo?kwahitaji hela atiiii
Kwa ufupi ukiwa na kitambi wanawake wanaambiana 'huyo mgeni wa vingunguti kaja ' lol
Nanii zao ni ndogo kama kidole cha mwisho, wanapenda style za kukaliwa kwa kuwa wanaamini ndio wanamfikisha mwanamke atakapo, wanawanawake wengi kwa tatizo la kutokujituma kwao huogopa kuachwa inabidi kuwa na nyumba ndogo nyingi zaidi, huwa ni bahili sana hata kama anapesa nyingi hatoi izo ni sifa zingine za wenye vitambi, bila kusahau wanakoroma sana utadhani wametoka kulima baada ya bao moja tu la dk 5
utafiti unasema kuwa ukisifia kitambi basi bwanaako anacho.. #MawazoYaKufikirika
mkuu unacho nn angalia usipige mtu na kama kip ondoa haraka huo mgogoro wa ndoaMkuu umetangaza vita ya kudumu na jamaa zetu wenye vitambi!kwa haya maneno yako kamwe hawatokusamehe!
Na ndivyo inavyotakiwa......kitu ukiwa na xperience nacho ni rahis kukichangia kwa uhakika.
Napenda vitambi mie.