Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,999
- 1,187
Umeshaambiwa saloon ya wamamaBaadhi ya hizo taasisi mbalimbali zinaitwaje?
Umeshaambiwa saloon ya wamamaBaadhi ya hizo taasisi mbalimbali zinaitwaje?
Hahahahaaa.... Wewe una kitambi?
Ebu malizia hapo namba 5.. wenye vitambi hatun.... err i am sorry, hawana nini?no .1...utafiti uliofanywa na taasisi mbalimbali duniani unaonyesha katika kila wanaume 10 wenye vitambi 8 wanamiliki nyumba ndogo.
no 2......pia ilibainika wanaume wenye vitambi wana ushawishi mkubwa kwa wanawake yaani wanakubaliwa haraka..labda wanawake wanadhani hivo vitambi vyao vimesheheni mifwedha na kuwakataa ni sawa na kupiga gunia la hela pesa.kwa hiyo huwa wanakubaliwa haraka sana.
no 3........wanaume wenye vitambi wanajali sana nyumba zao ndogo kuliko hata familia zao...hawaogopi lolote wakihamia ni wamehamia...kwao liwalo na liwe
no 4......wanaume wenye vitambi ni wafujaji wa hela kwa kifupi sio watu wa kuujali saana kuhusu utoaji wao...kwao chop chop money i don care ndo kauli mbiu yao...
no 5.....wanaume wenye vitambi hawana
no 6....wana bahati ya kupata hela .wengi wana hela hela ila ndo hivo zinaishia kwa wanawake...misosi na pombe na michemsho.
no 7....ziro in bed
source.saloon ya wamama!
Hongera sana, si kazi ndogo hiyonilikuwa nacho nikaona kinaniongezea gharama za maisha lol
nimekiondoa
Umeshaambiwa saloon ya wamama
wazani kulea kitambi mchezo?kwahitaji hela atiiii
nilikuwa nacho nikaona kinaniongezea gharama za maisha lol
nimekiondoa
pia unajenga heshima kwa wanawakeumeona eeh? watu wanashupalia tu oh kitambi sikipendi kumbe hana uwezo wa kuwa nacho! wengine miili yao haina shukrani inanenepa kwa ndani hata alishwe kwa mirija
mi siwezi kukiondoa bhana manake kinanipa heshima sana benki kuomba mikopo na kuhudumiwa vizuri ofisi mbalimbali teh teh!
no .1...utafiti uliofanywa na taasisi mbalimbali duniani unaonyesha katika kila wanaume 10 wenye vitambi 8 wanamiliki nyumba ndogo.
no 2......pia ilibainika wanaume wenye vitambi wana ushawishi mkubwa kwa wanawake yaani wanakubaliwa haraka..labda wanawake wanadhani hivo vitambi vyao vimesheheni mifwedha na kuwakataa ni sawa na kupiga gunia la hela pesa.kwa hiyo huwa wanakubaliwa haraka sana.
no 3........wanaume wenye vitambi wanajali sana nyumba zao ndogo kuliko hata familia zao...hawaogopi lolote wakihamia ni wamehamia...kwao liwalo na liwe
no 4......wanaume wenye vitambi ni wafujaji wa hela kwa kifupi sio watu wa kuujali saana kuhusu utoaji wao...kwao chop chop money i don care ndo kauli mbiu yao...
no 5.....wanaume wenye vitambi hawana
no 6....wana bahati ya kupata hela .wengi wana hela hela ila ndo hivo zinaishia kwa wanawake...misosi na pombe na michemsho.
no 7....ziro in bed
source.saloon ya wamama!
Hata cha kishkaji huna? Mmmh
eheheeeee aiseeeView attachment 105683
....haya bana.
nikijiachia ni one week tu kinakuja
wapenda vitambi wewe?
umeona mkuu mimi mwenyewe nina kitambi na nina kampuni yangu , lakini sizioni hizo sifa hata moja kwenye bed ndiyo usiseme labda aje atest zali . pay ninayo nyumba ndogo sina , kunywa sinywi pombe labda maziwa , kilo 120 presha sina gym kwa sana nafuga kuku wa kizungu wana ni keep bize 24hrs , sasa huyu ameachwa na demu ambaye boss anakitambi anataka ku discourage issue ya vitambi . na isitoshe kitambi mimi nafikri kinakuja automatic tu wala huwezi kukilazimisha ila kwa mshamba ndiyo anaona sifaWewe Smile no 5 na 7 ngoja waje, usipokimbia hili jukwaa sijui!