sifa za wanaume wenye vitambi

sifa za wanaume wenye vitambi

Mimi nina kitambi lakini mbona kama ni mtihani nitapata 10%?
1. Sina
2. Hapo kidogo kuna kaukweli maana mke wangu alinikubali na bado ananikubali
3. Sina hata hiyo nyumba ndogo.
4. Hawana nini? Mbona hujaeleza
5. Hiyo ni kweli hela napata lakini huwa najishangaa kupenda kuchunwa na mke wangu tu.
6. Nani alikwambia wote wako hivyo, mimi mpaka mke wangu ananipangia ratiba kutokana na usumbufu wangu.

Look how handsome I'm:

1. Hapo nilikuwa naenda job
2. Huyio ni mdogo wangu alikuja kunitembelea, hapo anamsaidia kazi ndogo ndogo shemeji yake.
3. Hapo nikiwa shopping na Mama watoto.
 

Attachments

  • ukoko mtamu.jpg
    ukoko mtamu.jpg
    18.4 KB · Views: 149
  • Unene wa kichina.jpg
    Unene wa kichina.jpg
    43.6 KB · Views: 135
mkuu unacho nn angalia usipige mtu na kama kip ondoa haraka huo mgogoro wa ndoa

Mkubwa nakumshukuru MUNGU niko FIT maana huu UGONJWA wa KITAMBI haujawahi kunikumba:smile-big:
 
Wewe Smile naona unajaribu kuingilia starehe za watu.. Aliokuwambia vitambi havina starehe ni nani..? Halafu usifananishe matumbo na vitambi..! Kwa taarifa yako mie nina mguu wa mtoto pamoja na kitambi nilichonacho.. Muulize Paloma atakuambia.. Halafu staili zote hapa zipo lol..
 
Last edited by a moderator:
mie kitambi ninacho, na nakung'uta K mpaka inaawaka moto...., inategemea ntu na ntu..
 
no .1...utafiti uliofanywa na taasisi mbalimbali duniani unaonyesha katika kila wanaume 10 wenye vitambi 8 wanamiliki nyumba ndogo.
no 2......pia ilibainika wanaume wenye vitambi wana ushawishi mkubwa kwa wanawake yaani wanakubaliwa haraka..labda wanawake wanadhani hivo vitambi vyao vimesheheni mifwedha na kuwakataa ni sawa na kupiga gunia la hela pesa.kwa hiyo huwa wanakubaliwa haraka sana.
no 3........wanaume wenye vitambi wanajali sana nyumba zao ndogo kuliko hata familia zao...hawaogopi lolote wakihamia ni wamehamia...kwao liwalo na liwe
no 4......wanaume wenye vitambi ni wafujaji wa hela kwa kifupi sio watu wa kuujali saana kuhusu utoaji wao...kwao chop chop money i don care ndo kauli mbiu yao...
no 5.....wanaume wenye vitambi hawana
no 6....wana bahati ya kupata hela .wengi wana hela hela ila ndo hivo zinaishia kwa wanawake...misosi na pombe na michemsho.
no 7....ziro in bed
source.saloon ya wamama!
jamani nime kumiss wewe....mi flat screen.....smile just smile for me gal.hahaha
 
Hapana sivipendi, ila ungekuwa nacho ningekuja kukuonja, maana wanasema wenye vitambi wana ndogo kama kidole cha mwisho, so kama huna naogopa kukimbia na pichu mkononi, kwa dhahama itakayonikuta.

HAHAHAHA KWEL HII NDO JF me nina KTAMBI0 CHA SIZE 2 N nina bonge la MUHOGO WA JANG'OMBE me nahc ni dhana 2 wanaotaka kuprove wani pm
 
Nanii zao ni ndogo kama kidole cha mwisho, wanapenda style za kukaliwa kwa kuwa wanaamini ndio wanamfikisha mwanamke atakapo, wanawanawake wengi kwa tatizo la kutokujituma kwao huogopa kuachwa inabidi kuwa na nyumba ndogo nyingi zaidi, huwa ni bahili sana hata kama anapesa nyingi hatoi izo ni sifa zingine za wenye vitambi, bila kusahau wanakoroma sana utadhani wametoka kulima baada ya bao moja tu la dk 5

Akili zao hazipo fast kivileee...
 
no .1...utafiti uliofanywa na taasisi mbalimbali duniani unaonyesha katika kila wanaume 10 wenye vitambi 8 wanamiliki nyumba ndogo.
no 2......pia ilibainika wanaume wenye vitambi wana ushawishi mkubwa kwa wanawake yaani wanakubaliwa haraka..labda wanawake wanadhani hivo vitambi vyao vimesheheni mifwedha na kuwakataa ni sawa na kupiga gunia la hela pesa.kwa hiyo huwa wanakubaliwa haraka sana.
no 3........wanaume wenye vitambi wanajali sana nyumba zao ndogo kuliko hata familia zao...hawaogopi lolote wakihamia ni wamehamia...kwao liwalo na liwe
no 4......wanaume wenye vitambi ni wafujaji wa hela kwa kifupi sio watu wa kuujali saana kuhusu utoaji wao...kwao chop chop money i don care ndo kauli mbiu yao...
no 5.....wanaume wenye vitambi hawana
no 6....wana bahati ya kupata hela .wengi wana hela hela ila ndo hivo zinaishia kwa wanawake...misosi na pombe na michemsho.
no 7....ziro in bed
source.saloon ya wamama!

Uliyoandika ni Layman observation. Soma hapo chini upate scentific observation

Fat Men Are Better in Bed

Sex researchers: "Size" does matter - Salon.com
 
Back
Top Bottom