The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,612
Napenda cha kishkaji...!
ha haa ili ukifanye nini?
Napenda cha kishkaji...!
weeeee
super mabebs
no .1...utafiti uliofanywa na taasisi mbalimbali duniani unaonyesha katika kila wanaume 10 wenye vitambi 8 wanamiliki nyumba ndogo.
no 2......pia ilibainika wanaume wenye vitambi wana ushawishi mkubwa kwa wanawake yaani wanakubaliwa haraka..labda wanawake wanadhani hivo vitambi vyao vimesheheni mifwedha na kuwakataa ni sawa na kupiga gunia la hela pesa.kwa hiyo huwa wanakubaliwa haraka sana.
no 3........wanaume wenye vitambi wanajali sana nyumba zao ndogo kuliko hata familia zao...hawaogopi lolote wakihamia ni wamehamia...kwao liwalo na liwe
no 4......wanaume wenye vitambi ni wafujaji wa hela kwa kifupi sio watu wa kuujali saana kuhusu utoaji wao...kwao chop chop money i don care ndo kauli mbiu yao...
no 5.....wanaume wenye vitambi hawana
no 6....wana bahati ya kupata hela .wengi wana hela hela ila ndo hivo zinaishia kwa wanawake...misosi na pombe na michemsho.
no 7....ziro in bed
source.saloon ya wamama!
ha haa ili ukifanye nini?
si ndo hao wawili katika kumi? hadi uwapate sasa sio leo?pia sikusema wanajua kujituma nilisema watamu...ujue kuna mtu anajituma lakini ladha hakuna mwingine utulivu ila result big big u know what am saying meeen!Kuna mahali niliona wawasifia kuwa ni watamu wanajituma...
wanakubalika sana hawa jamaa kwa jinsio hawa wamama walivojieleza mmmh acha tu....umeona ee? Smile? View attachment 105688....very "successfully" indeed!
kweli best sio muchezo kilo mbili za nyama kwa siku elfu 20
no .1...utafiti uliofanywa na taasisi mbalimbali duniani unaonyesha katika kila wanaume 10 wenye vitambi 8 wanamiliki nyumba ndogo.
no 2......pia ilibainika wanaume wenye vitambi wana ushawishi mkubwa kwa wanawake yaani wanakubaliwa haraka..labda wanawake wanadhani hivo vitambi vyao vimesheheni mifwedha na kuwakataa ni sawa na kupiga gunia la hela pesa.kwa hiyo huwa wanakubaliwa haraka sana.
no 3........wanaume wenye vitambi wanajali sana nyumba zao ndogo kuliko hata familia zao...hawaogopi lolote wakihamia ni wamehamia...kwao liwalo na liwe
no 4......wanaume wenye vitambi ni wafujaji wa hela kwa kifupi sio watu wa kuujali saana kuhusu utoaji wao...kwao chop chop money i don care ndo kauli mbiu yao...
no 5.....wanaume wenye vitambi hawana
no 6....wana bahati ya kupata hela .wengi wana hela hela ila ndo hivo zinaishia kwa wanawake...misosi na pombe na michemsho.
no 7....ziro in bed
source.saloon ya wamama!
Kitambi cha kishikaj tena kiwe cha afya kinavutia......
Kwa ufupi ukiwa na kitambi wanawake wanaambiana 'huyo mgeni wa vingunguti kaja ' lol