sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Huwa nashangaa sana watu wenye akili finyu wana mawazo ya kizamani kwamba mabinti wote wanaotokea makabila yenye asili ya uenyeji kwenye mikoa ya Singida, kondoa na Bukoba kwamba wote wana tabia ya kuwa wepesi sana na kugawa kirahisi.
Tabia ya mtu binafsi ni yake haiwezi kufanywa kuwa ya kabila lote.
Tabia ya mtu binafsi ni yake haiwezi kufanywa kuwa ya kabila lote.