Dominic Myumbilwa
Senior Member
- Jan 5, 2017
- 190
- 93
Sasa wewe upo Ubaruku, Mabogobogo na Ihefu hayo mengine utayajuaje?

Sasa wewe upo Ubaruku, Mabogobogo na Ihefu hayo mengine utayajuaje?

tanga sijafika..ila arusha ni bora kuliko mbeya Mara mianaona hujasafiri miji mingine ukaona. kama kuna majiji mengine mbali na dar basi na mbeya imo tena kwa viwango vya juu labda baada ya mwanza. pita miji ambayo bado sio maj
hivi Tanga, Arusha na mbeya lipi jiji?
Wewe VP HV ubaruku IPO ktk manispaa ya jiji la Mbeya??Hayo maeneo uliyoyataja hayapo ndani ya manispaa ya jiji la Mbeya ama ni vipi?
Kuna njama za kuiondolea hadhi ya jiji Mbeya kisa Upinzani ! Nawaambieni patachimbika .Kina Bujibuji na Erythrocyte.
Hahahaaaaa.Kuna njama za kuiondolea hadhi ya jiji Mbeya kisa Upinzani ! Nawaambieni patachimbika .
Unauhakika na unacho kizungumza?
Halafu mi sipangiwi nianzishe Uzi wa namna gani na mtu yeyote maana bando ni langu ,simu ni yangu na chaja niliyotumia kuchaji hii simu ni yangu pia
Kama unaona mada inakuboa pita wima tusitiane unajisi mapema hivi!
Watachepukia wapi wakati barabara hakuna ni vichochoro tu!Tatizo mkifika mbeya mnafuata main road hamchepuki kuangalia huduma zilizopo jijini pamoja na shughuli za uchumi zinazofanyika!
Nitafute nikupitishe mitaa ya mbeya ushangae!Watachepukia wapi wakati barabara hakuna ni vichochoro tu!
hivi Arusha bado haijawa jiji?Hapana kigezo cha kuwa jiji
Maana population and economic activities bado haifikii mbeya ata robo
Mbeya una population na ni mji wa kibiashara kama ulivyo dar na kwanza
Arusha na uzuri wote bado siyo jiji
Iringa bado sana
Vitaje hivyo vigezo vya ccm,kwan neno jiji kwako linasound vipmkuu Tanzania majiji ni 2 tu Dae es salaam na mwanza nayo kidogo hayo mengine yamekuwa majiji kwa vigezo vya CCM!
Hata kuingia Tamisemi umeshindwa,Arusha is a cityArusha bado
Hata Njombe na Mafinga karibu unaipita Iringa town,eti ndo kawe kajiji.Hapana kigezo cha kuwa jiji
Maana population and economic activities bado haifikii mbeya ata robo
Mbeya una population na ni mji wa kibiashara kama ulivyo dar na kwanza
Arusha na uzuri wote bado siyo jiji
Iringa bado sana
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza,
Mimi ni mwenyeji wa Mbeya mjini, kwa muda mrefu lakini mi ukweli sioni sababu za msingi za kuipatia Mbeya hadhi ya jiji yaani mji upoupo tu labda wajuvi mnieleze kama kuna sababu za kufanya Mbeya kuwa jiji.
Nawasilisha.