Sielewi sababu za Mbeya kuwa jiji

Sielewi sababu za Mbeya kuwa jiji

Sijawahi waelewa wanaoanzisha thread kuping mbeya kuwa jiji, sijui wanataka nini hawaeleweki,2014 ndo lift ya kwanza na jengo refu la kwanza likiwa na ghorofa sita lilizinduliwa,Leo yameongezeka mengi hadi 10flrs sasa nyie watu mnatakeje?
 
isyesye... Makunguru.... Mbaya inachekesha kwakwl japo kuna vgezo so Ina haki ndio maana ikaitwa jj
 
Huko isyesye na makunguru hakuna nn,hebu funguka kwa kujiamini na unachoandika
Huduma zipo ila ktk viwango vya chini sana.. Pia sifa za jj la mbeya (green city) zinavyovumishwa na uhalisia wenyewe ni tofauti kabisa. Labda kwa idadi ya watu, unaposema kwan isyesye hakuna nn kwahyo hata geita tuite jiji maana kila kitu kipo pia
 
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza,

Mimi ni mwenyeji wa Mbeya mjini, kwa muda mrefu lakini mi ukweli sioni sababu za msingi za kuipatia Mbeya hadhi ya jiji yaani mji upoupo tu labda wajuvi mnieleze kama kuna sababu za kufanya Mbeya kuwa jiji.

Nawasilisha.
Baelezee baelezee mkuu,!!!!!?
 
Huduma zipo ila ktk viwango vya chini sana.. Pia sifa za jj la mbeya (green city) zinavyovumishwa na uhalisia wenyewe ni tofauti kabisa. Labda kwa idadi ya watu, unaposema kwan isyesye hakuna nn kwahyo hata geita tuite jiji maana kila kitu kipo pia
Viwango vya chini ukilinganisha na jiji lipi,nani anayevumisha au zinavuma zenyewe?,kizuri kinajitangaza
 
Mji sio lazima maghorofa. Mji wa mbeya umepanuka sana ila majengo mengi ya kizamani. Nilikuwa pale june mwaka jana.

Idadi ya watu pia inaongeza sifa ya mji kuitwa jiji. Mbeya watu ni wengi

SIFA KUU NI UJENZI HOLELA NA WA HOVYO HOVYO. WINGI WA WATU KAMA NDIO KIGEZO BASI BALAA
 
Hivi unakumbuka ni uzi wa ngapi unaanzisha kuhusu jiji la mbeya?

Mkuu huna mambo mengine ya kujadili mpaka ujadili mbeya kuwa jiji

Unapata faida gani kujadili mbeya kuwa jiji

Unapata hasara gani mbeya kuwa jiji

Ukijibu hayo maswali nitakuuliza na mengine
Fungua profile langu angalia kama kuna Uzi nimewahi kuanzisha kuhusiana na mbeya halafu urudi uniambie
 
Fungua profile langu angalia kama kuna Uzi nimewahi kuanzisha kuhusiana na mbeya halafu urudi uniambie
Sina haja ya kurudi kukujibu maana ulianziasha kwa id nyingine tukawa tunachangia kuna mdau akawa anatuma picha za iringa akawa anafanaisha na mbeya

Nakushangaa leo umekuja na hili tena
 
Sina haja ya kurudi kukujibu maana ulianziasha kwa id nyingine tukawa tunachangia kuna mdau akawa anatuma picha za iringa akawa anafanaisha na mbeya

Nakushangaa leo umekuja na hili tena
Unauhakika na unacho kizungumza?
Halafu mi sipangiwi nianzishe Uzi wa namna gani na mtu yeyote maana bando ni langu ,simu ni yangu na chaja niliyotumia kuchaji hii simu ni yangu pia
Kama unaona mada inakuboa pita wima tusitiane unajisi mapema hivi!
 
Back
Top Bottom