Sielewi sababu za Mbeya kuwa jiji

Sielewi sababu za Mbeya kuwa jiji

moja ya sifa ya mkoa kupewa hadhi ya JIJI ni makusanyo ya mapato na uzalishaji

nahisi nitakuwa nimekusaidia mleta uzi ni kwann mbeya ilipewa hadhi ya jiji..

kilichobaki fanya homework yako ya mikoa inayoongoza kukusanya mapato hapa tz na ukishaiona Mbeya ipo nafasi ya ngapi nahisi utarejea maelezo yangu ya juu kabisa pale
nautakuwa umepeta jibu lako


hii chini ni ripoti ya BOT ya mwaka 2013

Kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania(BOT),Dsm ndio mkoa unaoongoza kwa kuchangia pato la taifa.

1. Dar-es-salaam(GDP-7.5 trilion)
2. Mwanza(GDP-4.09 trilion)
3. Mbeya(GDP-3.2 trilion)
4. Shinyanga
5. Iringa
6. Morogoro
7. Arusha(GDP-2.1 triliom)
8. Tanga(GDP-2.09 trillion)
9. Kilimanjaro(GDP-2.03 trillion)


na hayo ndiyo majiji matano kwa hiyo hadi hapo umeshajua hadhi ya jiji inatona na nini
Mkuu,hapo ni tofauti kabisa. Hizo Domestic Revenue Collection Regionalwise na siyo kwa Mji. Bahati moja ya Mkoa wa Dar ni mji,ambao eneo lote ni Towns(Metro) na eneo lingine ni City Proper. Sasa kwa mfano wa hizo za Mbeya ni hela zote za Mbeya Mjini,za Tunduma(takwim hizo Tunduma ilikua Mbeya,kwa sasa iko Songwe),Mbarali,Mbozi,Kyela,Chunya,Rungwe nk. Hivyo nadharia yako hai reflect hadhi ya jiji la Mbeya kuwa ndiyo chanzo cha Mbeya ya wakati huo kuwa ndani ya Tano Bora kukusanya mapato,bali ni mkoa mzima.
Kwanza,kwa mzunguko,Tunduma ilikua inaizidi au kufanana na Mbeya Mjini(jiji) kwa mzunguko wa pesa hasa kwa biashara.
 
moshi imetimiza vigezo vyote isipokuwa kigezo cha ukubwa
wapo ktk mchakato wa kulipa fidia maeneo ya kia ili eneo liwe LA mosh
Kwa mujibu wa tamiseni wakazi wasipungue 500,000 ,moshi imewapata wapi hawa ,ukubwa bado ni mchakato,kujitegemea kimapato ikoje?
 
Mkuu,hapo ni tofauti kabisa. Hizo Domestic Revenue Collection Regionalwise na siyo kwa Mji. Bahati moja ya Mkoa wa Dar ni mji,ambao eneo lote ni Towns(Metro) na eneo lingine ni City Proper. Sasa kwa mfano wa hizo za Mbeya ni hela zote za Mbeya Mjini,za Tunduma(takwim hizo Tunduma ilikua Mbeya,kwa sasa iko Songwe),Mbarali,Mbozi,Kyela,Chunya,Rungwe nk. Hivyo nadharia yako hai reflect hadhi ya jiji la Mbeya kuwa ndiyo chanzo cha Mbeya ya wakati huo kuwa ndani ya Tano Bora kukusanya mapato,bali ni mkoa mzima.
Kwanza,kwa mzunguko,Tunduma ilikua inaizidi au kufanana na Mbeya Mjini(jiji) kwa mzunguko wa pesa hasa kwa biashara.
Point of correction,vyanzo vya ndani vya mapato vya Tunduma sio zaidi ya 2bn,ila vyanzo vya serikali kuu kwa maana ya ushuru wa forodha inazidi mbeya but not internal sources
 
Point of correction,vyanzo vya ndani vya mapato vya Tunduma sio zaidi ya 2bn,ila vyanzo vya serikali kuu kwa maana ya ushuru wa forodha inazidi mbeya but not internal sources
Nakubaliana nawe mkuu,lakini nayo ni contribution ya Makusanyo kwenye fuko kuu la Taifa. Jiji la Mbeya wala halina vyanzo vikubwa kuweza kufikisha hata 1tn/-
 
Nakubaliana nawe mkuu,lakini nayo ni contribution ya Makusanyo kwenye fuko kuu la Taifa. Jiji la Mbeya wala halina vyanzo vikubwa kuweza kufikisha hata 1tn/-
Of course sina data halisi lakini nitazitafuta,unadhani manispaa za dar ndo zinaweza fikia hapo
 
Elimu ya Tanzania inaelekeza vema sifa ya Halmashauri ya wilaya, mji, manispaa na Jiji (Somo la Uraia darasa la sita (vi).
Rudi Shule "elimu haina mwisho"
 
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza,

Mimi ni mwenyeji wa Mbeya mjini, kwa muda mrefu lakini mi ukweli sioni sababu za msingi za kuipatia Mbeya hadhi ya jiji yaani mji upoupo tu labda wajuvi mnieleze kama kuna sababu za kufanya Mbeya kuwa jiji.

Nawasilisha.
unavijua vigezo vya manispaa kupandishwa hadhi na kuwa jijji?
 
Inaonekana Wew ndgu hujui vigezo vya mkoa kuwa jiji vigezo ni idadi kubwa ya watu, kutanuka kwa mji hata maendeleo ya sehemu kubwa
 
Nipo hapa kupitia comment mpya..jiji limebadilika sana
 
Huyo jamaa aliesema watu karibia laki 7 anaota yaani watu laki 7 upewe jiji wakati hao watu hata wilaya moja ya mbeya inahao watu angesema mbeya inawatu ml 5 hadi 6 nmgemuelewa maana naskia dar ndo jiji linaloongoza kwa idada kubwa ya watu na inayofuata ni hiyo mbeya kisha mwanza sasa kama inafuata kuifikia dar kwa idadi ya watu iweje ile laki 7 tu!?? Dar ina watu karibia mil 7 maana yake wikaya 1 ya jiji la dar inawatu mil 1 na ushehe
Mhhhh. Sijui unaota ? Kwanza hiyo Mbeya ina watu chini ya laki saba. Sada unasemaje kwamba Mbeya inaizidi Mwanza population ? Ulishafika Mwanza wewe ?
 
Back
Top Bottom