Sielewi sababu za Mbeya kuwa jiji

Sielewi sababu za Mbeya kuwa jiji

mkuu Tanzania majiji ni 2 tu Dae es salaam na mwanza nayo kidogo hayo mengine yamekuwa majiji kwa vigezo vya CCM!
 
Yapo ma4, Dar, mwanza, mbeya na Tanga, sijui kama Arusha lilitangazwa kuwa jiji
 
naona hujasafiri miji mingine ukaona. kama kuna majiji mengine mbali na dar basi na mbeya imo tena kwa viwango vya juu labda baada ya mwanza. pita miji ambayo bado sio majiji kisha linganisha na mbeya
Hata mimi sioni sababu ya mbeya kuitwa jiji mala dufu na sumbawanga bora ingeitwa jiji kulikoni mbeya.....
 
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza,

Mimi ni mwenyeji wa Mbeya mjini, kwa muda mrefu lakini mi ukweli sioni sababu za msingi za kuipatia Mbeya hadhi ya jiji yaani mji upoupo tu labda wajuvi mnieleze kama kuna sababu za kufanya Mbeya kuwa jiji.

Nawasilisha.
Mkuu moja ya sifa ya kupandisha hadhi ya mji, au jiji ni idadi ya wakazi wa sehemu husika,
Wakati Mbeya ilipopata hadhi ya jiji wakazi wake kwa Mbeya mjini walizidi 300,000
Hivyo kuvuka kiwango cha kuwa manispaa.
Ndiyo maana utaona mji kama Zanzibar bado ni minispaa kwa sababu idadi ya wakazi wake haijafikia kultwa jiji.
 
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza,

Mimi ni mwenyeji wa Mbeya mjini, kwa muda mrefu lakini mi ukweli sioni sababu za msingi za kuipatia Mbeya hadhi ya jiji yaani mji upoupo tu labda wajuvi mnieleze kama kuna sababu za kufanya Mbeya kuwa jiji.

Nawasilisha.
Tokea Mkspa, Jakaya na sasa John Pombe, wamekataa kimkakati kuwekeza kiserikali kwa miradi yoyote Mbeya.
 
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza,

Mimi ni mwenyeji wa Mbeya mjini, kwa muda mrefu lakini mi ukweli sioni sababu za msingi za kuipatia Mbeya hadhi ya jiji yaani mji upoupo tu labda wajuvi mnieleze kama kuna sababu za kufanya Mbeya kuwa jiji.

Nawasilisha.
naona hujasafiri miji mingine ukaona. kama kuna majiji mengine mbali na dar basi na mbeya imo tena kwa viwango vya juu labda baada ya mwanza. pita miji ambayo bado sio maj
hakuna jiji pale..jiji gani unalimaliza kwa baiskeli chini ya nusu saa
hivi Tanga, Arusha na mbeya lipi jiji?
 
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza,

Mimi ni mwenyeji wa Mbeya mjini, kwa muda mrefu lakini mi ukweli sioni sababu za msingi za kuipatia Mbeya hadhi ya jiji yaani mji upoupo tu labda wajuvi mnieleze kama kuna sababu za kufanya Mbeya kuwa jiji.

Nawasilisha.

Wewe siyo mwenyeji nadhani ni mpita njia tu
Na kama mwenyeji basi uko muvwa uko ndani au isyonje au chimala
Au igulusi
Jiji alipimwi kwa wingi wa maghorofa mkuu
Bali ni economic activities( shughuli za kiuchumi) na siyo majengo
Pia population (idadi ya watu) hivyo baadhi tu mkuu
Nadhani mshangao wako itakuwa umeegemea maghorofa
 
Unawivu tu na mbeya. Inaonyesha hata civics form two hukusoma wewe. Hili jiji lina watu karibia laki7 ulitegemea paitwe tarafa au klasta

Hahaha
Nadhani ulitaka useme milioni 7. Ila hasira zikakupelekea uandike lakini 7
 
Mkuu moja ya sifa ya kupandisha hadhi ya mji, au jiji ni idadi ya wakazi wa sehemu husika,
Wakati Mbeya ilipopata hadhi ya jiji wakazi wake kwa Mbeya mjini walizidi 300,000
Hivyo kuvuka kiwango cha kuwa manispaa.
Ndiyo maana utaona mji kama Zanzibar bado ni minispaa kwa sababu idadi ya wakazi wake haijafikia kultwa jiji.
Zanzibar kwa kina kiringo......
 
Mbeya mjini ni kuanzia uyole mpaka mitaa ya iyunga, pote ni mbeya mjini.... Sa tuanze na miundombinu kuna barabara ya lami, lkn zipo barabara za lami za pembezon mwa main road ili kuopt folen, kutoka ilomba, mwambani, chuoni teku, mpaka kabwe, lkn ipo ya kutoka ilomba mpaka veta, bado kuingia tanesco, mpaka unaingia mjini kwa barabara za lami, ina stendi kubwa tatu, kuna soko la kimataif,.....huduma za jamii shule za advance na sekondari zipo nyingi sana mbeya, vyuo vikuuu karibu 10,hospital ya rufaa, pamoja na meta na zingine ndogo ndogo, biashara kwa hili halina ubishi mbeya biashara ni nyingi na mzunguko wake ni mzuri, idadi ya watu ni takriban milioni tatu, lkn mbeya inaunganishwa na barabara za lami kutoka kila wilaya, pia ina boda tatu kubwa pamoja na bandari..... Ni vingi sana vinavyoipa mbeya kuwa jiji.... Ila kasora ya mbeya haijajengwa kwa mpangirio, suala amabalo sio mbeya tu ni kila Sehemu hapa Tanzania.... Umeme mbeya mjini ukikta basi haizi sa 3, suala la majimbeya wapo vzur wametap kutoka mto ivumwe apo na miliman kule ,maji hayakatagi
.....mazao ndo kibao, sasa wewe unataka nini ili ndo ujue mbeya ni jiji?
Narudia sijawahi waelewa nn hawa jamaa wanataka,ina banks karibu zote,ni makao makuu ya kanda ya nyanda za juu kusini na inajengeka tena na wa kazi WA MBEYA
Yale majengo ya mahakama kuu kanda ya MBEYA na BOT ni mazuri na yana iconic architecture hakuna mfano Tzn,,mazingira ni greenish second to Njombe,,nn tena wanataka
 
Post yako ulitakiwa uulize ni sifa zipi za mji kuwa jiji???
Kwa mujibu wa post yako ina maana una criticize Mbeya kuwa jiji means wewe ndo unazijua sifa za jiji.
Kwa kifupi kitu muhimu ni Mzunguko wa pesa, issue nyingine ni Population na factors nyingine
 
Back
Top Bottom