Sielewi sababu za Mbeya kuwa jiji

Sielewi sababu za Mbeya kuwa jiji

Sio Mbeya tu hata Arusha is overrated nguvu inayowekwa kwa sasa Dom ilitakiwa iwekwe kwenye hzo Manispaa zenye watu wengi la sivyo Dom itayapita hayo majiji uchwara very soon
Usiilinganishe Arusha na Mbeya aisee. Mbeya Bado Sana kwa Arusha. Miundo mbinu ya barabara Mbeya imeachwa Sana sana na Arusha. Hata ubora wa nyumba za biashara na makazi pia. Kwa population Mbeya inaikaribia Arusha kidogo. Mbeya Wana barabara moja tu ya TANZAM highway na biashara zote muhimu zipo along this road.
 
Lakini pia sioni kama Mbeya inakua. Bora hata Dodoma na Arusha zinakua. Mbeya imedumaa kama Tanga. Sioni project za maana zinazoendelea. Halmashauri ya jiji haina strategy yoyote.
 
Wikaya ni kinyakyusa mkuu??!!!!
Huyo jamaa aliesema watu karibia laki 7 anaota yaani watu laki 7 upewe jiji wakati hao watu hata wilaya moja ya mbeya inahao watu angesema mbeya inawatu ml 5 hadi 6 nmgemuelewa maana naskia dar ndo jiji linaloongoza kwa idada kubwa ya watu na inayofuata ni hiyo mbeya kisha mwanza sasa kama inafuata kuifikia dar kwa idadi ya watu iweje ile laki 7 tu!?? Dar ina watu karibia mil 7 maana yake wikaya 1 ya jiji la dar inawatu mil 1 na ushehe
 
Njombe ni Namba moja kwa sasa kwa makazi sema watu hawataki kukubali tu
You're right Njombe nyumba za matofali ya kuchoma za gharama nafuu lakini zinavutia pamepangwa, ningekuwa natoka kanda hyo ningeishi Njombe
 
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza,

Mimi ni mwenyeji wa Mbeya mjini, kwa muda mrefu lakini mi ukweli sioni sababu za msingi za kuipatia Mbeya hadhi ya jiji yaani mji upoupo tu labda wajuvi mnieleze kama kuna sababu za kufanya Mbeya kuwa jiji.

Nawasilisha.
Ni ushamba wa kizamani sana kudhani kwamba ili mji uwe mkubwa au mzuri kunatakiwa kuwe na majengo marefu kwenda juu, hii hulka wanayo sana watu wa vijijini wanapoenda mjini....Disgusting!

Umetokea kijiji gani ndugu?
 
Ni ushamba wa kizamani sana kudhani kwamba ili mji uwe mkubwa au mzuri kunatakiwa kuwe na majengo marefu kwenda juu, hii hulka wanayo sana watu wa vijijini wanapoenda mjini....Disgusting!

Umetokea kijiji gani ndugu?

Nimetokea mwanjelwa
 
Back
Top Bottom