Kama kichwa cha mada kinavyojieleza,
Mimi ni mwenyeji wa Mbeya mjini, kwa muda mrefu lakini mi ukweli sioni sababu za msingi za kuipatia Mbeya hadhi ya jiji yaani mji upoupo tu labda wajuvi mnieleze kama kuna sababu za kufanya Mbeya kuwa jiji.
Nawasilisha.
HABARI,
"evart,
Ndugu kama hujui sifa zinazofanya mji kuwa jiji kamwe huwezi kuelewa na unaonekana hutaki kuelewa nivema ungeuliza hapa kwanini mbeya imekuwa jiji watu wangekupa majibu mengi na ungeelewa.
Nikusaidie hii nimetoa humu janvini iliwekwa na mtu mmoja anaitwa
GreenCity Aug 4, 2012 mengi aliyoyasema nimekubaliana naye ila namba 9 kidogo kwangu haijakaa vema.
UNISOME KWA MAKINI HAPA:
1.Population: Mbeya ni ya tatu baada ya mwanza na dsm.
2. Huduma za afya: mbeya(rufaa) inahudumia mikoa ya iringa, rukwa, songea
3. huduma za fedha: mbeya ni kati ya mikoa 5 yenye B.O.T tangu awamu ya pili.
4. Transportation: mbeya ina aina zote za usafiri kama reli, barabara, maji kwa ziwa nyasa na rukwa, ndege n.K.
5. Financial inst: mbeya ina zaid ya aina 15 za mabenk.
6. Elimu: mbeya ni ya 2 kwa wingi wa shule za a-level. Na ya 3 kwa o-level.
7. Biashara: mbeya inamiliki bourder kubwa kuliko zote tanzania.
8. Mapato: T.R.A Mkoa wa mbeya imekuwa ikivuka malengo ya ukusanyaji kwa zaidi ya miaka 10 sasa.
9. Nyakyusa: ni kabila la nne kwa ukubwa baada ya sukuma, chaga, na haya.
10. Urban area: mbya mjini ina makazi ya kudumu mengi ikifuatia kwa mwanza baada ya dsm.
11. Chakula: mbeya is the greatest food producer in tanzania.
LUMUMBA