Sielewi sababu za Mbeya kuwa jiji

Sielewi sababu za Mbeya kuwa jiji

Sasa wewe upo Ubaruku, Mabogobogo na Ihefu hayo mengine utayajuaje?
hata angekuwa pale jiji
n hivyo jiji gan lina pori katikati? refer kilimo
jiji gan stand kuu mbaya vile? ata nanenane nako hakuna jengo LA abiria majanga
 
Hata mm ni mwenyeji wa mbeya ukijaji kwa huduma za kijamii na miundombinu na madhari kweli mbeya haistahili kuwa kijij hata kidogo ila kwa Kigezo cha watu basi wanastahili
n kweli watu wengi ila mpango mji wa hovyo nyumba za tope iziwa,mwasenkwa,itende
 
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza,

Mimi ni mwenyeji wa Mbeya mjini, kwa muda mrefu lakini mi ukweli sioni sababu za msingi za kuipatia Mbeya hadhi ya jiji yaani mji upoupo tu labda wajuvi mnieleze kama kuna sababu za kufanya Mbeya kuwa jiji.

Nawasilisha.
Mkuu nami najiunga kusema hujajua kitu gani kinafanya mkoa kupewa hadhi kuwa jiji

Hapo inaangaliwa idadi ya watu mbeya ni zaidi ya 1m vivyo hivyo Tanga na sababu zako za mji kupangika hii imetokana na miundo mbinu yetu dar imepewa hadhi ya jiji muda mrefu lakini hapa mbezi juu tu unazikuta nyumba za tope
 
Kosa kubwa nililoligundua ni kuwa watu tunatafsiri jiji kwa kuangalia majiji kama new york. Majiji nayo yanayo classifications zake, ingawa yote ni majiji.
 
Back
Top Bottom