SIASA ZA VITA: Imeanza kuzungumzwa kwa dhati kama hapo kabla Marekani haijatumia bomu la nyuklia, kuwa inaepusha mauaji zaidi kwa kutumia nyuklia!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,663
18,037
Baada ya mamilioni ya watu zaidi ya 30,000,000 kufa katika nchi mbalimbali kutokana na vita kuu ya pili ya dunia, washauri wa mambo ya vita wa marekani walimshauri raisFranklin Delano Roosevelt wa wakati huo kuwa, ili kumaliza vita hivyo, inabidi aidhinishe matumizi ya bomu la nyuklia (wakati huo liloijulikana kama bomu la atomiki/atomic bomb. Wakati huo Marekani ilikuwa imeshindwa kuilazimisha Japan isalimu amri kwa kutumia nguvu za kivita. Hivyo ikaonekana mamilioni ya raia na askari wa pande zote zinazopigana wataendelea kufa.

Lakini kama Marekani itaamua kutumia bomu la atomiki, pamoja na kwamba watakufa watu wengi, lakini bila shaka Japan itasalimu amri na kupelekea vita kukoma na hivyo kuzuia mauaji zaidi kuendelea. Ushauri huo ulikubalika na Marekani ikaipiga Japan na kwa kutumia mabomu ya nyuklia mara mbili. Walipopigwa mara ya kwanza Japan haikusalimu amri. Lakini ilipopigwa mara ya pili Japan ilinyoosha mikono na huo ukawa ndio mwisho wa vita kuu ya pili na mauaji yakakoma.

Kabla ya mabomu hayo ya nyuklia zaidi ya watu milioni 30 walikuwa waqmekufa. Mabomu hayo mawili ya nyuklia yaliua watu 355,000 hapo hapo mbali na wale waliokufa baadaye. Mpaka leo watu wanaamini kuwa kama si Marekani kutumia bomu la nyuklia, vita vingeendelea kwa miaka mingi zaidi na mamilioni wengi zaidi wangekufa! Kwa hiyo bomu hilo linasifika kwa kuepusha mauaji zaidi.

Hoja hiyo hiyo imeanza kuzungumzwa kwa dhati na washauri wa mambo ya vita wa Urusi kuwa, ili kuepusha mauaji zaidi ni lazima kuilazimisha Ukraine kusalimu amri kwa kutumia mabomu ya nyuklia!!!! Kwa sasa hakuna dalili za ukraine kusalimu amri kwa sababu inategemea misaada ya kivita kwa maana ya zana za kivita na pesa toka nchi za magharibi hususan Marekani na Uingereza.

Kuna dalili zote kuwa usjhauri huo umeshakubalika kwa vioingozi wengi wa Urusi kasoro tu rais Putin bado anasita, japo kuna dalili kubwa kuwa ameshaanza kushawishika, ndio maana amekubali kupeleka silaha hizo pia nchi jirani rafiki. Kwa hali ya mambo jinsi ilivyo tusishangae kuamka na kukuta mji mzima wa Kiev umeteketea na maelfu ya watu kufa hapo hapo!!

Swali lililopo ni kuwa je Urusi ikamua kumaliza vita kwa mtindo huo, ni nani alaumuwe? Je ni urusi ilaumiwe? au je ni Marekani na NATO walaumiwe kwa kumtumia Ukraine kupigana na Urusi huku wakiizuia ukraine kufanya mazungumzo na urusi? au je ilaumiwe Ukraine kwa kukubali kutumiwa na Marekani ili ipigane na Urusi!! Watu wanasema, unapoamua kupigana na Taifa lenye silaha za nyuklia unategemea nini? Hata Marekani haiwezi kuthubutu kushambulia Taifa lenye silaha za nyuklia kama Korea ya kaskazini! Ilikuwaje Ukraine kukubali8 kutumiwa na NATO kupigana na Urusi? Je ikipigwa bomu la nyuklia itashangaa?

Sergey Karaganov: By using its nuclear weapons, Russia could save humanity from a global catastrophe​

A tough but necessary decision would likely force the West to back off, enabling an earlier end to the Ukraine crisis and preventing it from expanding to other states
 
Genesis:-
Rais wa ufaransa akaenda Urusi kutaka Putin aache vita na ukraine, wayamalize kwenye Meza, Putin akakataa.
2) Waziri mkuu wa Israeli akaenda Urusi kumtaka aache vita dhidi ya Ukraine, Putin akakataa kata kata.
3) Rais wa ufaransa akarudi kwa Putin kumtaka kwa mara nyingine aache vita dhidi ya Ukraine Putin kwa mara nyingine akachomoa uku washingiliaji wake wakimsifu kwa uamzi huo.
Lastly Pope akaomba akutane na Putin wazungumze, Putin akamkatalia Papa.
Yote hawa yametokea nikiwa na akili timamu na kumbukumbu nzuri ila kuna kenge inaandika kinyume kuwa Mataifa ya ulaya yalimkataza Rais wa Ukraine kumaliza vita mezani!! Inatia kichefu chefu sana.
 
Baada ya mamilioni ya watu zaidi ya 30,000,000 kufa katika nchi mbalimbali kutokana na vita kuu ya pili ya dunia, washauri wa mambo ya vita wa marekani walimshauri raisFranklin Delano Roosevelt wa wakati huo kuwa, ili kumaliza vita hivyo, inabidi aidhinishe matumizi ya bomu la nyuklia (wakati huo liloijulikana kama bomu la atomiki/atomic bomb. Wakati huo Marekani ilikuwa imeshindwa kuilazimisha Japan isalimu amri kwa kutumia nguvu za kivita. Hivyo ikaonekana mamilioni ya raia na askari wa pande zote zinazopigana wataendelea kufa.

Lakini kama Marekani itaamua kutumia bomu la atomiki, pamoja na kwamba watakufa watu wengi, lakini bila shaka Japan itasalimu amri na kupelekea vita kukoma na hivyo kuzuia mauaji zaidi kuendelea. Ushauri huo ulikubalika na Marekani ikaipiga Japan na kwa kutumia mabomu ya nyuklia mara mbili. Walipopigwa mara ya kwanza Japan haikusalimu amri. Lakini ilipopigwa mara ya pili Japan ilinyoosha mikono na huo ukawa ndio mwisho wa vita kuu ya pili na mauaji yakakoma.

Kabla ya mabomu hayo ya nyuklia zaidi ya watu milioni 30 walikuwa waqmekufa. Mabomu hayo mawili ya nyuklia yaliua watu 355,000 hapo hapo mbali na wale waliokufa baadaye. Mpaka leo watu wanaamini kuwa kama si Marekani kutumia bomu la nyuklia, vita vingeendelea kwa miaka mingi zaidi na mamilioni wengi zaidi wangekufa! Kwa hiyo bomu hilo linasifika kwa kuepusha mauaji zaidi.

Hoja hiyo hiyo imeanza kuzungumzwa kwa dhati na washauri wa mambo ya vita wa Urusi kuwa, ili kuepusha mauaji zaidi ni lazima kuilazimisha Ukraine kusalimu amri kwa kutumia mabomu ya nyuklia!!!! Kwa sasa hakuna dalili za ukraine kusalimu amri kwa sababu inategemea misaada ya kivita kwa maana ya zana za kivita na pesa toka nchi za magharibi hususan Marekani na Uingereza.

Kuna dalili zote kuwa usjhauri huo umeshakubalika kwa vioingozi wengi wa Urusi kasoro tu rais Putin bado anasita, japo kuna dalili kubwa kuwa ameshaanza kushawishika, ndio maana amekubali kupeleka silaha hizo pia nchi jirani rafiki. Kwa hali ya mambo jinsi ilivyo tusishangae kuamka na kukuta mji mzima wa Kiev umeteketea na maelfu ya watu kufa hapo hapo!!

Swali lililopo ni kuwa je Urusi ikamua kumaliza vita kwa mtindo huo, ni nani alaumuwe? Je ni urusi ilaumiwe? au je ni Marekani na NATO walaumiwe kwa kumtumia Ukraine kupigana na Urusi huku wakiizuia ukraine kufanya mazungumzo na urusi? au je ilaumiwe Ukraine kwa kukubali kutumiwa na Marekani ili ipigane na Urusi!! Watu wanasema, unapoamua kupigana na Taifa lenye silaha za nyuklia unategemea nini? Hata Marekani haiwezi kuthubutu kushambulia Taifa lenye silaha za nyuklia kama Korea ya kaskazini! Ilikuwaje Ukraine kukubali8 kutumiwa na NATO kupigana na Urusi? Je ikipigwa bomu la nyuklia itashangaa?

Sergey Karaganov: By using its nuclear weapons, Russia could save humanity from a global catastrophe​

A tough but necessary decision would likely force the West to back off, enabling an earlier end to the Ukraine crisis and preventing it from expanding to other states
Japan alianza ipiga USA ila Huku ni URUSI ndo kaanza kuipiga Ukraine , sasa Urusi anapata uhalali gani wa kutumia nyuklia ? Ila Ukraine akitumia ni sahihi maana kachokozwa mara mbili 2014 na 2022 yaan hii vita Urusi ndo kailazimisha hata ikitokea Ukraine akilipua ikulu ya Urusi ni sawa tu wao wamejitahidi kuivumilia Urusi ila Urusi hakuridhika kaivamia Kyiev kbs kuonesha anataka vita
 
Genesis:-
Rais wa ufaransa akaenda Urusi kutaka Putin aache vita na ukraine, wayamalize kwenye Meza, Putin akakataa.
2) Waziri mkuu wa Israeli akaenda Urusi kumtaka aache vita dhidi ya Ukraine, Putin akakataa kata kata.
3) Rais wa ufaransa akarudi kwa Putin kumtaka kwa mara nyingine aache vita dhidi ya Ukraine Putin kwa mara nyingine akachomoa uku washingiliaji wake wakimsifu kwa uamzi huo.
Lastly Pope akaomba akutane na Putin wazungumze, Putin akamkatalia Papa.
Yote hawa yametokea nikiwa na akili timamu na kumbukumbu nzuri ila kuna kenge inaandika kinyume kuwa Mataifa ya ulaya yalimkataza Rais wa Ukraine kumaliza vita mezani!! Inatia kichefu chefu sana.
Umemsahau Biden ndo alikuwa wa kwana hata kabla hajavamia Ukraine alisema Putin asiendelee na anachofikiria ila Putin akajikuta mwehu pia chancellor wa Austria alienda Urusi ila Putin akachuna
 
Baada ya mamilioni ya watu zaidi ya 30,000,000 kufa katika nchi mbalimbali kutokana na vita kuu ya pili ya dunia, washauri wa mambo ya vita wa marekani walimshauri raisFranklin Delano Roosevelt wa wakati huo kuwa, ili kumaliza vita hivyo, inabidi aidhinishe matumizi ya bomu la nyuklia (wakati huo liloijulikana kama bomu la atomiki/atomic bomb. Wakati huo Marekani ilikuwa imeshindwa kuilazimisha Japan isalimu amri kwa kutumia nguvu za kivita. Hivyo ikaonekana mamilioni ya raia na askari wa pande zote zinazopigana wataendelea kufa.

Lakini kama Marekani itaamua kutumia bomu la atomiki, pamoja na kwamba watakufa watu wengi, lakini bila shaka Japan itasalimu amri na kupelekea vita kukoma na hivyo kuzuia mauaji zaidi kuendelea. Ushauri huo ulikubalika na Marekani ikaipiga Japan na kwa kutumia mabomu ya nyuklia mara mbili. Walipopigwa mara ya kwanza Japan haikusalimu amri. Lakini ilipopigwa mara ya pili Japan ilinyoosha mikono na huo ukawa ndio mwisho wa vita kuu ya pili na mauaji yakakoma.

Kabla ya mabomu hayo ya nyuklia zaidi ya watu milioni 30 walikuwa waqmekufa. Mabomu hayo mawili ya nyuklia yaliua watu 355,000 hapo hapo mbali na wale waliokufa baadaye. Mpaka leo watu wanaamini kuwa kama si Marekani kutumia bomu la nyuklia, vita vingeendelea kwa miaka mingi zaidi na mamilioni wengi zaidi wangekufa! Kwa hiyo bomu hilo linasifika kwa kuepusha mauaji zaidi.

Hoja hiyo hiyo imeanza kuzungumzwa kwa dhati na washauri wa mambo ya vita wa Urusi kuwa, ili kuepusha mauaji zaidi ni lazima kuilazimisha Ukraine kusalimu amri kwa kutumia mabomu ya nyuklia!!!! Kwa sasa hakuna dalili za ukraine kusalimu amri kwa sababu inategemea misaada ya kivita kwa maana ya zana za kivita na pesa toka nchi za magharibi hususan Marekani na Uingereza.

Kuna dalili zote kuwa usjhauri huo umeshakubalika kwa vioingozi wengi wa Urusi kasoro tu rais Putin bado anasita, japo kuna dalili kubwa kuwa ameshaanza kushawishika, ndio maana amekubali kupeleka silaha hizo pia nchi jirani rafiki. Kwa hali ya mambo jinsi ilivyo tusishangae kuamka na kukuta mji mzima wa Kiev umeteketea na maelfu ya watu kufa hapo hapo!!

Swali lililopo ni kuwa je Urusi ikamua kumaliza vita kwa mtindo huo, ni nani alaumuwe? Je ni urusi ilaumiwe? au je ni Marekani na NATO walaumiwe kwa kumtumia Ukraine kupigana na Urusi huku wakiizuia ukraine kufanya mazungumzo na urusi? au je ilaumiwe Ukraine kwa kukubali kutumiwa na Marekani ili ipigane na Urusi!! Watu wanasema, unapoamua kupigana na Taifa lenye silaha za nyuklia unategemea nini? Hata Marekani haiwezi kuthubutu kushambulia Taifa lenye silaha za nyuklia kama Korea ya kaskazini! Ilikuwaje Ukraine kukubali8 kutumiwa na NATO kupigana na Urusi? Je ikipigwa bomu la nyuklia itashangaa?

Sergey Karaganov: By using its nuclear weapons, Russia could save humanity from a global catastrophe​

A tough but necessary decision would likely force the West to back off, enabling an earlier end to the Ukraine crisis and preventing it from expanding to other states
Ukraine aliamua kupigana na taifa la nuklia au alilazimishwa kupigana na Urusi baada ya kuivamiwa na Urusi ili atekwe punguzeni sababu za kinafiki
 
Genesis:-
Rais wa ufaransa akaenda Urusi kutaka Putin aache vita na ukraine, wayamalize kwenye Meza, Putin akakataa.
2) Waziri mkuu wa Israeli akaenda Urusi kumtaka aache vita dhidi ya Ukraine, Putin akakataa kata kata.
3) Rais wa ufaransa akarudi kwa Putin kumtaka kwa mara nyingine aache vita dhidi ya Ukraine Putin kwa mara nyingine akachomoa uku washingiliaji wake wakimsifu kwa uamzi huo.
Lastly Pope akaomba akutane na Putin wazungumze, Putin akamkatalia Papa.
Yote hawa yametokea nikiwa na akili timamu na kumbukumbu nzuri ila kuna kenge inaandika kinyume kuwa Mataifa ya ulaya yalimkataza Rais wa Ukraine kumaliza vita mezani!! Inatia kichefu chefu sana.
Wewe hebu nyama mbona unayaelewa mambo kinyume na maumbile? Ni mara ngapi Putin alitaka maridhiano tena ya mezani walimkatalia? Unaufahama mkataba wa MINSK? kaanze upya kupitia document zako juu ya mzozo huu nakuhakikishia huyo Emmanuel Macron angeenda kwa Putin mapema kabla ya vita pengine tusingekuwa hapa wewe unaona hilo ni bwawa la Petroli kuna mtu kashika moto anaonywa mara kadhaa aache yeye hataki anaamua kuliwasha bwawa sasa moto unawaka ndo wanataka kulazimisha moto uzime haiwezekani kila taifa duniani lina miiko na maadui zake nikuambie tu kuwa kuna mataifa mawili duniani yaani URUSI na USA mfano ikitokea leo Urusi ikapeleka silaha labda za kujihami MEXICO hakika US ataiambia mekiko iachane na huo mpango na ikiziba masikio itapigwa ndivyo hivyo kwa ukraine alipopokea mizigo ya aina hiyo kutoka magharibi saa hii anakula kichapo.
Ikifikia unadeal na mmojawapo kati ya USSR au US you need to be extra careful ukimess ujue unapigwa au uwe tayari kupigana hakuna compromise wala sovereign state hiyo ndiyo siasa ya dunia.
 
Ukraine aliamua kupigana na taifa la nuklia au alilazimishwa kupigana na Urusi baada ya kuivamiwa na Urusi ili atekwe punguzeni sababu za kinafiki
.
Screenshot_20230320-175502.jpg
 
Wewe hebu nyama mbona unayaelewa mambo kinyume na maumbile? Ni mara ngapi Putin alitaka maridhiano tena ya mezani walimkatalia? Unaufahama mkataba wa MINSK? kaanze upya kupitia document zako juu ya mzozo huu nakuhakikishia huyo Emmanuel Macron angeenda kwa Putin mapema kabla ya vita pengine tusingekuwa hapa wewe unaona hilo ni bwawa la Petroli kuna mtu kashika moto anaonywa mara kadhaa aache yeye hataki anaamua kuliwasha bwawa sasa moto unawaka ndo wanataka kulazimisha moto uzime haiwezekani kila taifa duniani lina miiko na maadui zake nikuambie tu kuwa kuna mataifa mawili duniani yaani URUSI na USA mfano ikitokea leo Urusi ikapeleka silaha labda za kujihami MEXICO hakika US ataiambia mekiko iachane na huo mpango na ikiziba masikio itapigwa ndivyo hivyo kwa ukraine alipopokea mizigo ya aina hiyo kutoka magharibi saa hii anakula kichapo.
Ikifikia unadeal na mmojawapo kati ya USSR au US you need to be extra careful ukimess ujue unapigwa au uwe tayari kupigana hakuna compromise wala sovereign state hiyo ndiyo siasa ya dunia.
Ona huyu nae!!.
 
Genesis:-
Rais wa ufaransa akaenda Urusi kutaka Putin aache vita na ukraine, wayamalize kwenye Meza, Putin akakataa.
2) Waziri mkuu wa Israeli akaenda Urusi kumtaka aache vita dhidi ya Ukraine, Putin akakataa kata kata.
3) Rais wa ufaransa akarudi kwa Putin kumtaka kwa mara nyingine aache vita dhidi ya Ukraine Putin kwa mara nyingine akachomoa uku washingiliaji wake wakimsifu kwa uamzi huo.
Lastly Pope akaomba akutane na Putin wazungumze, Putin akamkatalia Papa.
Yote hawa yametokea nikiwa na akili timamu na kumbukumbu nzuri ila kuna kenge inaandika kinyume kuwa Mataifa ya ulaya yalimkataza Rais wa Ukraine kumaliza vita mezani!! Inatia kichefu chefu sana.
Huku Marekan ikisema haitairuhusu Ukraine ikubaline na mpango wa aman wa china ukiwa na akili zako timamu. Huku mataifa ya Uingereza ikipeleka siraha mpaka za Uranium nchini Ukraine kuwakomoa Urusi na ukiwa na akili zako timamu.
 
Genesis:-
Rais wa ufaransa akaenda Urusi kutaka Putin aache vita na ukraine, wayamalize kwenye Meza, Putin akakataa.
2) Waziri mkuu wa Israeli akaenda Urusi kumtaka aache vita dhidi ya Ukraine, Putin akakataa kata kata.
3) Rais wa ufaransa akarudi kwa Putin kumtaka kwa mara nyingine aache vita dhidi ya Ukraine Putin kwa mara nyingine akachomoa uku washingiliaji wake wakimsifu kwa uamzi huo.
Lastly Pope akaomba akutane na Putin wazungumze, Putin akamkatalia Papa.
Yote hawa yametokea nikiwa na akili timamu na kumbukumbu nzuri ila kuna kenge inaandika kinyume kuwa Mataifa ya ulaya yalimkataza Rais wa Ukraine kumaliza vita mezani!! Inatia kichefu chefu sana.
Ndiyo maana sisomagi mpaka mwisho ninapoona ukenge kwenye mambo siriazi
 
Wewe hebu nyama mbona unayaelewa mambo kinyume na maumbile? Ni mara ngapi Putin alitaka maridhiano tena ya mezani walimkatalia? Unaufahama mkataba wa MINSK? kaanze upya kupitia document zako juu ya mzozo huu nakuhakikishia huyo Emmanuel Macron angeenda kwa Putin mapema kabla ya vita pengine tusingekuwa hapa wewe unaona hilo ni bwawa la Petroli kuna mtu kashika moto anaonywa mara kadhaa aache yeye hataki anaamua kuliwasha bwawa sasa moto unawaka ndo wanataka kulazimisha moto uzime haiwezekani kila taifa duniani lina miiko na maadui zake nikuambie tu kuwa kuna mataifa mawili duniani yaani URUSI na USA mfano ikitokea leo Urusi ikapeleka silaha labda za kujihami MEXICO hakika US ataiambia mekiko iachane na huo mpango na ikiziba masikio itapigwa ndivyo hivyo kwa ukraine alipopokea mizigo ya aina hiyo kutoka magharibi saa hii anakula kichapo.
Ikifikia unadeal na mmojawapo kati ya USSR au US you need to be extra careful ukimess ujue unapigwa au uwe tayari kupigana hakuna compromise wala sovereign state hiyo ndiyo siasa ya dunia.
Umeongea kishabiki na mihemko
 
Kwani hiyo nyukilia anayo Putin pekee?, hajui kuwa Usa na washirika wake wa NATO na EU wanayo mabomu mengi ya nyukilia kuliko Urusi?. Endapo mmojawapo atatumia mabomu hayo basi tambua wote hawako salama maana hakuna atakayemchekea mwenzake.


Kipindi kile Japan alivumilia kwa vile huenda hakuwa na mabomu hayo ya nyukilia.
 
Wa kulaumiwa ni urusi aliyeshindwa kifikia lengo lake mapema!

Kwa nini atumie nuke
"mapema" ndo lini? Je ni wakati ganii Urusi ilitaja au kubainisha siku au wakati wa "kufikia lengo lake"?
Acha kupigana vita usiyoijua jombaa.
 
Back
Top Bottom