johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,226
- 142,396
Siasa za upinzani hapa Tanzania zimejikita katika watu kujitafutia madaraka, vyeo na ajira binafsi.
Ngoja tuwaone Chadema watafika wapi baada ya wanachama wake maarufu wote kupoteza ubunge na udiwani.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Ngoja tuwaone Chadema watafika wapi baada ya wanachama wake maarufu wote kupoteza ubunge na udiwani.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!