Wewe nafikiri ndiye una matatizo ya akili. Nani anabeza kazi ya Mwakyembe kwenye Richmond?
Kwasababu alifanya kazi nzuri Richmond basi ndio ajichukulie sheria mkononi mpaka kuanza kuteka vijana?
Soma hotuba zake, hata sehemu moja haongelei maendeleo ya Kyela. Kama anataka kuwa rais wa nchi si agombee urais?
Kyela watamwajibisha kwa kushinda kufanya kazi za kusukuma maendeleo wilayani kwake na badala yake ni migogoro tu.
Mbona Dr. Slaa anafanya kazi na RC wa CCM? Yeye kila siku ni malalamiko tu RC ananikwamisha. Hivi kazi za RC na mbunge mbona ni tofauti sana?
Tatizo lake ni kutokukaa Kyela; sasa baada ya kutokea Mwakalinga ndio anajifanya kukaa Kyela lakini badala ya kuunganisha watu analeta vituko vya kuteka vijana na uwongo eti simu ina sms za vigogo. Nimeongea na ofisi ya RCO wanasema ni usanii tu wa Kyela. Kweli Kyela inahitaji mbunge wa namna hiyo?
Acha kujikweza umeongea na RCO, wakati hata humjui kwa jina.