Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,721
- 208,993
NdiyoUlifurahi kumsababishia ban?
NdiyoUlifurahi kumsababishia ban?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa kweliHuyu Naye si huwa anapenda kurekebisha kila kitu au umemsahau [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli, kama umeamua kutokuwa mkweli wa vitendo mrembo haina shida, ila nifanya kulingana na kile nilicho kiona.We nae umeedit comment yangu. Tangu mwanzo nimeandika Hovyo.
Angalia comments za watu walioni quote mwanzo.
Wakorofi mnapendana [emoji16][emoji16][emoji16]
Hujambo?
Mimi ni jeshi. Hadi digba sowey kaja kuniomba msamaha PM na kaahidi kubadilika.Sikujua kama na wewe uko ngangari hivi [emoji91][emoji91][emoji91]
Hii kamusi ya buza au...Sio "ovyo" sahihi ni "hovyo"
Ahsante.
😳Mbona anatumia jina la kike.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki akili zenu mnazijua wenyewe, mwenzenu huyo ni mwanaume.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ukipenda kuwa mke wangu wa tatu, mlango uko wazi.
Ukiona vile lile nalijua ndio maana nikajenga hoja kwalo.
Kama aliweza kutubadilishia "Na tumfanye"kutoka nafsi ya kwanza wingi akaileta nafsi ya kwanza umoja unadhani atashindwa kurekebisha watu humu[emoji3].[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa kweli
Bila shaka.Hii kamusi ya buza au...
Kwamba lile neno ulilobadilisha nafsi ulijiona umepata na sisi wengine wote tulikosa?Ukiona vile lile nalijua ndio maana nikajenga hoja kwalo.
Kwangu kusema sijui ni ushujaa hasa kwa jambo nisilolijua bali ni nusu ya kujua kusema "Sijui".
Ahsante.
Nimesema hivyo sababu kwenye wanaume kuna wanaume.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
JF bana. Halafu anayeambiwa hivyo ni kidume
Jamani Leo ni weekend
Na hili jukwaa Wana MMU kila mmoja Ana haki ya kueleza yaliyo moyoni mwake sasa si kila tunaloleta shida zetu hasa sisi wanawake mkahisi tunashida ya kutongozwa sana au Malaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Akuonyeshee wapi? Chumbani au peupe? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2221][emoji2221][emoji2221]
[emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296] mweeinaonekana ananipenda. Si unaona anavyonishobokea?[emoji23]
Mwambie afunguke tu asione soo...
Mkorofi kwa mbali? Ni mkorofi hasa tena ukiingia kwenye anga zake utakula makonzi uondoke na manundu [emoji16]Nakupendaga sana tuu. Hata wewe ni mkorofi kwa mbaaaaaali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hilo jina wenzako wanajua wewe ni ke, hata usiwalaumu.Sijaelewa hapa, wewe ni binti au ulikuwa unamkusudia nani hapa ?
Halafu hao waropokaji ndio hata hawana hadhi ya kututongoza.
Mfano Jana namfundisha digba sowey namna ya kuandika vizuri baada ya kuona anaandika hovyo bila kufuata vituo na r badala ya L na anasema yeye ni mwalimu.
Badala apokee somo langu akasema namtaka anioe. Ila atanyooka tuu.