Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,521
- 14,188
Nlisoma sangu sec ila nlitimuliwa
Sikumaliza miezi 3 wanapiga bakora balaa
Kulikuwa na mwl anaitwa kabigi na ndimbo
Wao utafikiri walinikamia
Ova
Now days Bakora zipo Ivumwe. Sangu full luxury, nimeondoka Sangu miaka ya 2010+ .
Ivumwe weka mbali na watoto.