mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,912
- 132,230
Nadhani umeacha mambo hayo siku hiziSahihi kabisa ...chata zilipigwa kona zote za Mby kuanzia Mabatini,Mbaliz Road,Mafiat,Sokomatola mpaka Uyole
Hiyo zamani wakati wa ujana...sasa tumezeekaNadhani umeacha mambo hayo siku hizi
Ilikua inanifurahiaha sanaHiyo zamani wakati wa ujana...sasa tumezeeka
Yaa uhuni wa zamani......Ilikua inanifurahiaha sana
pure mathematicsWanaiyunga, Sangu na Mbeya Day, mengi mliyoyaandika ni tofauti na malengo yaliyowapeleka shule, ubabe, ulevi na mademu, mliwezaje kuvimudu vitu vyote hivyo pamoja na masomo!
Hapo sasa naanza kuelewa hivyo CCM iliichukua shule ya serikali! Haikubaliki.
Umesoma meta mwaka gn kakaMzew Walden naye si yule chotara mj general was JWtz
Hamna kaka siku hz mala inafungwa mala inafunguliwa ko siku hz tumeamishia majeshi kwenye ile bakery ya vetaAshaondoka huyo.......
Mzee ile bakery ilikuwepo blot t bdo ipo
Ova
Ni vizuri kuweka kumbukumbu sahihi ya ulimopitia na unamopitia katika maisha, unaona sasa shule ninayoitafuta haijulikani iko wapi! Yaani majengo zikiwepo nyumba za walimu, mabweni, madarasa, jiko na stoo vimetoweka! Watu hawajui mali ya serikali imepotelea wapi! Ninaposema nilisoma hapo, hapo wapi! Mbona hakuna shule kama hiyo! Nitaonekana ninadanganya iweje shule ya serikali inayochukua wanafunzi kila mwaka ipotee! Pamoja na hayo cheti cha kumaliza darasa la nane (8) kwenye shule hiyo ninacho, nikawaida shule ya serikali kubadilika lakini inabaki kuwa ya serikali.Hahhahhaaa.... Mzee bhana. Sasa unataka kufanyeje.
Ila heshima yako.. Vile unachati kama janki tu.
Nyerere alitaka wote tuishi kijima Mkuu..Ni vizuri kuweka kumbukumbu sahihi ya ulimopitia na unamopitia katika maisha, unaona sasa shule ninayoitafuta haijulikani iko wapi! Yaani majengo zikiwepo nyumba za walimu, mabweni, madarasa, jiko na stoo vimetoweka! Watu hawajui mali ya serikali imepotelea wapi! Ninaposema nilisoma hapo, hapo wapi! Mbona hakuna shule kama hiyo! Nitaonekana ninadanganya iweje shule ya serikali inayochukua wanafunzi kila mwaka ipotee! Pamoja na hayo cheti cha kumaliza darasa la nane (8) kwenye shule hiyo ninacho, nikawaida shule ya serikali kubadilika lakini inabaki kuwa ya serikali. Ninawashukuru wote walioshiriki kwenye mada, kwenye reli na hata waliotutoa kwenye reli kwani wote tumefaidika kwa kumbukumbu za ziada.
RectorNIT ina mkurugenzi au chancellor?.
Kinachozingumziwa ni ili siyo ina, kinachokutatiza ni kutojua PAST na PRESENT. Hapo penye ina futa weka ilikuwa, ili wote tuongee lugha moja.Rector
Kwahiyo alitaifisha shule ya msingi ya serikali! Mbona sielewi.Nyerere alitaka wote tuishi kijima Mkuu..
Hakutaka matabaka ya walionacho na wasionacho. Ndio maana utaifishaji ulikithiri kipindi cha utawala wake.
Duh...Hamna kaka siku hz mala inafungwa mala inafunguliwa ko siku hz tumeamishia majeshi kwenye ile bakery ya veta



Ndiyo, ilipo meta sec Schoo.Unataka kutuambia hyo shule ni meta secondary,,,,,,,mi nimesoma meta afu sifahamu kabisa hilo?
Ndiyo.Meta sekondari ni ya wazazi wa CCM, ninayoitafuta lilikuwa ya serikali lilikuwa shule ya bweni na haikuwa mbali sana na uwanja wa mpira wa zamani ilitenganishwa na uwanja wa Raga (rugby). Au CCM ilichukua?
Mzee wangu ubabe ,ulevi na mademu ilikuwa part tu ya hobby zetu ila kiuhalisi hizi shule watu wanapiga msuli hatariWanaiyunga, Sangu na Mbeya Day, mengi mliyoyaandika ni tofauti na malengo yaliyowapeleka shule, ubabe, ulevi na mademu, mliwezaje kuvimudu vitu vyote hivyo pamoja na masomo!
Mi wa iyunga camp mzee wanguUmesoma meta mwaka gn kaka