mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,910
- 132,226
Mike alifariki 2017 naye alizikwa kinondoniLini? Mwaka jana au huu? Walikuwa rafiki zangu na tuliishi wote Chang'ombe, Michael alihama akabaki David alipata stroke, tulimzika Kinondoni.
Anyway! Bad news.
Karibu ya mdogo wake
Duh mm hyo misiba yote nlikuwepo
Mama yao aliyekuwa anaishi uingereza naye mwaka huu alifariki walimzika pia
Wadogo zake wale wa kike na kiume wanaoishi nje walikuja kuzika
Ova