Shule bora za Serikali, enzi hizo


Hakuna St.Hassan mkuu!,labda unibabadulie vizuri,maana ninachokojua mimi kule kwa mama wa kambo huwa hawaamini mambo ya Sainthood.
 
hiz shule zilikuwa za kanisa roman catholic nk gvt ikazitaifisha
bt baadh ya shule zisharud kwa hinaya ya kanisa
mfn
forodhan~now st joseph cathedral ambay imetoa TO mwaka jan n mwaka huu advnc
Pugu;ipo kwny mkakat wa kurud kanxan
nk
 

Bora yako mkuu wewe umejisemea Ukweli!!,na siku zote msema Ukweli ni Mpenzi wa Mungu.
 
hiz shule zilikuwa za kanisa roman catholic nk gvt ikazitaifisha
bt baadh ya shule zisharud kwa hinaya ya kanisa
mfn
forodhan~now st joseph cathedral ambay imetoa TO mwaka jan n mwaka huu advnc
Pugu;ipo kwny mkakat wa kurud kanxan
nk

Yaani watu wanalichukia tu bure Kanisa Katoliki,Matunda yake ni mengi na yaliyo bora,lkn basi ndo hivyo utafanyaje sasa?,Shukrani ya punda siku zote ni mateke.
 


mkuu umenikumbusha mbali sana,king's college budo
 
Shule yangu mkwawa, bweni Makongoro West , headmaster Mr. MBAO, second Mr Tende, Wali maharage kwa mzee Chuwa na Nelkon.
RIP Nelkon.
 
Huwez I-list Tosa BoYz bila ZOO(Iringa girls)


Na huwez i-list Songea Boyz bila TAMSALA(Songea girls)

Ongezea na
Iringa Girls
Songea Girls
 
Kuna wa2 wamexoma xhule za kata na wanakula bata serikaln hao walioxoma kweny izo xhule zako wanauza karanga kilaza ni nan apo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…