Mwahija abour
Member
- Dec 14, 2019
- 5
- 3
Habar zenu ndugu zangu.
Me naishi na binti yangu, amemaliza kidato cha NNE mwaka 2017. matokeo yake akawa na C1 na D2, ambay ni kiswahili C na eng/islamic, akawa na D mengine yote aliferi, akarudia mwaka jana masom yot kasoro islamic na kiswahili na akapata C ya eng, na mengne akafel tena yote asa anaomba kurudia tena Ila wazo langu kam kuna chuo kinachochukua wastan wa C2 na D1 naomba mnisaidie japo mawazo au ata coz ipi anaweza akasomea
Me naishi na binti yangu, amemaliza kidato cha NNE mwaka 2017. matokeo yake akawa na C1 na D2, ambay ni kiswahili C na eng/islamic, akawa na D mengine yote aliferi, akarudia mwaka jana masom yot kasoro islamic na kiswahili na akapata C ya eng, na mengne akafel tena yote asa anaomba kurudia tena Ila wazo langu kam kuna chuo kinachochukua wastan wa C2 na D1 naomba mnisaidie japo mawazo au ata coz ipi anaweza akasomea