Kwa vipi naweza jiunga kidato cha 5 shule za serikal ikiwa nime reseat mtihan na kupata matokeo mazuri?

Sep 7, 2023
11
1
Mimi ni mwanafunz nilie reseat mtihn wa kidat cha 4 mwaka jana nataman kujua ni vipi nawez kuendelea na kidato cha sita kupitia shule ya serikali? Yote wazazi kushindwa gharama za shule za private sasa ni ushaur upi nawez pewa niweze endelea kidat cha sita kwa shule za serikal nina ufaulu wa C4 na D3
History C
Kiswahili C
English C
Literature C
Geo D
Civics D na ziada ya
Islamic D
Naomba msaada pls niweze jua naanzia wapi
 
Mimi ni mwanafunz nilie reseat mtihn wa kidat cha 4 mwaka jana nataman kujua ni vipi nawez kuendelea na kidato cha sita kupitia shule ya serikali? Yote wazazi kushindwa gharama za shule za private sasa ni ushaur upi nawez pewa niweze endelea kidat cha sita kwa shule za serikal nina ufaulu wa C4 na D3
History C
Kiswahili C
English C
Literature C
Geo C
Civics C na ziada ya
Islamic D
Naomba msaada pls niweze jua naanzia wapi
Simple nenda shule yoyote ya Advance yenye nafasi.
Omba uwe-admitted
 
Back
Top Bottom