Shujaa wako mwaka 2012

Shujaa wako mwaka 2012

mary mary

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
869
Reaction score
287
Naomba tuwatangaze mashujaa wetu bila upendeleo wowote. Awe mwana siasa au mwananchi wa kawaida aliyefanya kazi nzuri kwa ajili ya kuleta maendeleo ya Nchi yetu. Aliyefichua uovu kwa faida ya chama na wananchi nk

Mimi naomba pasipo aibu wala ubinafsi nimtangaze Saa nane Umefanya kazi nzuri sana! uwe umetumwa au hapana lkn imenisaidia kujua mengi kuhusu siasa na imani yangu imezidi kuwa Imara. Kuna mambo mengi umesaidia yasiharibike kuliko ungekaa kimya. Katika hili wewe ni shujaa!

Mungu akupe heri na kukupigania!
 
Juliana Shonza. Ameweza kuwakabili viongozi wake bila woga wala kificho!
 
Aiseee hapa bila kusitasita shujaa wangu wa mwaka 2012 ni kamanda, jemedari Ben Saanane kwani kawafichua masalia na kuwavungua nguo hadharani na hatimaye kukomesha uasi ndani ya chama.
 
Last edited by a moderator:
Philip Mulugo! Kwa kuendelea kuwepo madarakani pamoja na ufisadi katika Elimu yake!
 
Aiseee hapa bila kusitasita shujaa wangu wa mwaka 2012 ni kamanda, jemedari Ben Saanane kwani kawafichua masalia na kuwavungua nguo hadharani na hatimaye kukomesha uasi ndani ya chama.

Hahahaa I knew it baada ya hii thread kuwekwa nlisubiria bandiko lako na nlijua tu lazima kamanda Ben atakuwa 2012 hero.
 
Last edited by a moderator:
Shujaa wangu ni Zitto Zuberi kabwe kwa kutoa muongozo wa swiss money,kuwa na msimamo lmara japo Ben Sanane na Dr.Slaa wanamchafua,ingawa alinichefua kujivuna uchawi hadharani.
nk
 
Dr. Wilbrod Peter Slaa. Amevumilia mengi waliyomzushia, anaendelea kuchapa kazi bila kukata tamaa. Naomba wote wenye moyo wa upendo tuendelee kumwombea mzee huyu kwa Mungu mwenyezi aendelee kumlinda ili azma yake ya kulikomboa taifa letu dhidi wezi wa mali asili zetu itimie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom