Dr. Wilbrod Peter Slaa. Amevumilia mengi waliyomzushia, anaendelea kuchapa kazi bila kukata tamaa. Naomba wote wenye moyo wa upendo tuendelee kumwombea mzee huyu kwa Mungu mwenyezi aendelee kumlinda ili azma yake ya kulikomboa taifa letu dhidi wezi wa mali asili zetu itimie......
Fillipe Mulugo mh.
.......
ni nani huyuJohn nyika
Mwigulu nchemba ndio shujaa wangu
Naomba tuwatangaze mashujaa wetu bila upendeleo wowote. Awe mwana siasa au mwananchi wa kawaida aliyefanya kazi nzuri kwa ajili ya kuleta maendeleo ya Nchi yetu. Aliyefichua uovu kwa faida ya chama na wananchi nk
Mimi naomba pasipo aibu wala ubinafsi nimtangaze Saa nane Umefanya kazi nzuri sana! uwe umetumwa au hapana lkn imenisaidia kujua mengi kuhusu siasa na imani yangu imezidi kuwa Imara. Kuna mambo mengi umesaidia yasiharibike kuliko ungekaa kimya. Katika hili wewe ni shujaa!
Mungu akupe heri na kukupigania!
JK ni kiboko