Shujaa wako mwaka 2012

Shujaa wako mwaka 2012

Edward Ngoyayi Lowassa jembe la watanzania 2012 kwa sababu alisema bila woga kuwa vijana wasio na ajira ni bomu linalotarajia kulipuka na pia jamaa ni mchapa kazi sana hata kama mnamzushia tuhuma mbalimbali zilizojaa wivu wa kike
 
Bila Kinyongo,

Marehem Muammar Gaddafi kwa kusimamia kauli yake hadi mwisho kwamba hatakimbia Libya na hata kama nikufa atafia Libya.

mkuu, libya sio nchi yetu. yetu inaitwa Tanzania. mungu akuweke pema pepon wa ukweli gaddafi
 
mkuu, libya sio nchi yetu. yetu inaitwa Tanzania. mungu akuweke pema pepon wa ukweli gaddafi

Nakubaliana na wewe mkuu, hapa kwetu sijaona mwanasiasa anayesimamia maneno yake ndio maana nikajikuta navunja masharti ya uzi.

Thanks
 
JOHN HECHE kwani ameonekana sehemu mbalimbali akitoa elimu kwa watanzania kuhusu ANALOGIA I mean CCM....
 
Nakubaliana na wewe mkuu, hapa kwetu sijaona mwanasiasa anayesimamia maneno yake ndio maana nikajikuta navunja masharti ya uzi.

Thanks

Mkuu mada haisemi shujaa lazima awe mwanasiasa. Kuna wengine shujaa wao ni Sheikh Ponda.

Mi shujaa wangu kwa mfano ni Juma Kaseja.
 
Mkuu mada haisemi shujaa lazima awe mwanasiasa. Kuna wengine shujaa wao ni Sheikh Ponda.

Mi shujaa wangu kwa mfano ni Juma Kaseja.

Naomba tuwatangaze mashujaa wetu bila upendeleo wowote. Awe mwana siasa au mwananchi wa kawaida aliyefanya kazi nzuri kwa ajili ya kuleta maendeleo ya Nchi yetu. Aliyefichua uovu kwa faida ya chama na wananchi nk

Mwakyembe
 
Huyu jamaa ni kweli ni shujaa maa alisababisha hadi mchawi akajitaja!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom