pole sana Mangi!!Ninaushahidi pia niambieni nitumie njia gani umma ufahamu ukweli kwani ndugu yangu aliuwawa na hakuwepo karibu na kituo kama taarifa ya polisi inavyosema M.50 karibu na kituo jamaa alipigwa risasi na polisi tena anayemfahamu kwa sura na jina zaidi ya kilomita 2.5 kutoka kituo cha polisi.
si mmuwinde au hamjui anaishi wapi? kuna mwingi nilimwona akitawanya risasi kama hana akili alikuwa amevaa kiraia ndiyo huyo....Ninaushahidi pia niambieni nitumie njia gani umma ufahamu ukweli kwani ndugu yangu aliuwawa na hakuwepo karibu na kituo kama taarifa ya polisi inavyosema M.50 karibu na kituo jamaa alipigwa risasi na polisi tena anayemfahamu kwa sura na jina zaidi ya kilomita 2.5 kutoka kituo cha polisi.
We ngoja tuone itakuwaje ukweli utajulikana tu. Hawa CCM wanavyofanya mambo wanafikiri bado Watanzania ni Wajinga ngoja wasubiri kitakachotokea mbele ya safari CDM kazeni kamba tupo nyuma yenu.huyu mama kaanza vibaya sana . Wiki mbili tu ameshaonyesha dalili za wazi za kulishindwa kuliendesha hili bunge. Sipati picha miaka mitano ijayo itakuwaje kuwaje
ukweli unabaki pale pale waziright mkuu hajalidanganya bunge na hawezi kudanganya kwani katika uchaguzi wa wilaya ya hai chedema imemtumia mbunge ambaye siyo mkazi wa halimashauri hiyo
Mkuu mpevu naomba link tafadhali............Kuna thread tayari ipo na inatupatia updates zote, ungana nayo utayajua yanayojiri.
Peleka YouTube au Megaupload...., tena ili wasijue IP address yako mtumie jamaa yako abroad UK, US Germany au France na yeye aende kwenye Internet Cafe aweze ku-upload..., hakuna mtu anayeweza kuitrack back to youNishaurini ninao Ushahidi wote wa mauaji ya wananchi Arusha,ninataka watanzania wajue ukweli ili tujue Lema na Pinda nani Mwongo nitumie njia gani kufikia umma.Pinda amepewa ushahidi na polisi ambao walisha edit hivyo anafikiri yeye yupo sahihi wakati amejipalia makaa ya mawe kichwani.
Mimi naona kama utetezi ndo umeegemea kwa Marry mtashindwa vibaya, Hebu tupeni defination ya neno mkazi, kabla hamjaenda mbali. Ili mtu awe mkazi inambidi awe ameishi maeneo hayo kwa kipindi kipi? je neno mkazi lilotumiwa hapo linahusiano gani na mkazi kwa maana ya mimi mtanzania na mkazi foreigner utofauti wake upo vipi?
Hakuna kitu cha namna hiyo hapa bongo, lema kaambiwa apeleke ofsni
Hapa speaker amefanya kitu cha mbolea mana angepoteza muda wa watanzania
lemma atawakilisha hoja yake offisin kwa speaker
Mnyika kamkumbusha mama kuhusu kiporo cha Lema, Mama kamwambia Lema apeleke maelezo kwa maandishi (Sijui kama itakuwa ofisini kwake au au wapi)
Yeye ndio kaamua hivo? Au spika kapindisha? Huo ushahidi umewekwa kwenye mtandao tayari?
jEYKEYWAUKWELI YOU HAVE A VERY WEEK BRAIN! Suala hapa si brabra ni kuwa kosa lilifanyika na ama watendaji waliompatia PM majibu ambayo ni ya uongo hata akasema uongo bungeni ama Spika naye alikurupuka kudhani atamkomoa Lema, nimesema ktk post yangu juu kuwa busara ya jambo hili bila ushabiki, litatuliwe kiutuuzima na pengine watu wazima wamejua athari hizo ndo maana wameona si busara Lema kuwasilisha bungeni lingeleta taathira mbaya. Think as great thinker siyo shabiki. Hata kama ni Mwana CCM lazima kujua kuwa Umeya wa Arusha utatenguliwa na Mahakama kwani Mary Chatanda si diwani wa Arusha kwa mujibu wa Sheria ya serikali za mitaa na Mabaraza ya Miji. Hili lilisababishwa na uvivu wa kufikiri na kujipanga CCM uwezo wa kuchukua Umeya Arusha ungefanikiwa kama Mh Kikwete angeamua pengine kumteua Bi Batrida Burian kuwa Mbunge. Kwa Chatanda walikosea na hii ni sababu ya kutowatumia wataaalamu kwenye Chama na badala yake kukurupuka! Suala la Pinda Bungeni limeleta fedheha hata kwake, Pinda si tunayemjua asingekubali fedheha hizo, alilishwa kasa na watendaji na mi nadhani hapo anapaswa kuipitia repoer yote ya tukio la Arusha na kutaka ukweli zaidi ama atumia usalama wa Taifa wampatie taarifa za kweli. Styre hii aliitumia sana marehemu Edward Moringe Sokoine na hata Magufuli anaitumia japo pia Magufuli wakati mwingine ana mfumo wake wa kuapata na kutafuta taarifa ili kuwa na taarifa kamili bila hivo ina maana uanze kusoma wewe mwenyewe hakuna muda japo pia utamaduni wa kusoma vitu basic kama hivi hasa kwa muda mgogoro wa Arusha ulipoanza angeshakuwa na kujua ukweli upo wapi. Wtatue kiutuuzima na sisi watu wazima tutajua tu kama halijasemwa wazi basi imejulikana nani alidanganya na itajulikana kuwa kati ya hao wawili atakuwa nani ambaye amefanya suala hilo liseiwekwe wazi ni Lema ama PM ... WAKUBWA TUTAJUA na tunajua atajirekebisha kama binadamu ila si kama Spika alivosema kuwa PM hawezi kudanganya......Mi namwomba mama Makinda alinde heshima ya mwanamke.....asitekeleze matakwa ya watu..........ndoto zetu za kuwaamini wanawake zitakimbia na itakuwa amewachimbia wanawake wenzie kaburi ambalo kufukuliwa kwake ni siku ya ufufuko ama siku ya kiama. Jifunze na UGENDELAGE LUDODI, LUKAFU LULADENYEKA!
Anaweza akachomoka kwa sababu kuna kundi kubwa nyuma yake linalomuunga mkono likiongozwa na madame spika.
Lema asubiri rungu la bunge tu, hizo zote ni blaaa blaaa tu