Show ya Lema vs Pinda featuring Makinda

Show ya Lema vs Pinda featuring Makinda

Zitto anawarekebisha manaibu mawaziri wanapojibu maswali wasiwaite wabunge dadazao, kakazao, rafiki yangu wa karibu,.....Suala la Lema kwa sasa halipo. Labda jioni au limepotezewa?

lema atapeleka kwa speaker ofsin halipo tena:clap2::clap2::clap2: mana linapoteza muda badala ya kuchangia mambo ya muhimu:laugh:
 
Pinda,amegusa sasa ni lazima anate!Jana tumemkosa Dr.kwenye mkutano alikuwa Dom kupanga safu ya mashambulizi-LISSU,MDEE,MNYIKA ,MBOWE.hao ni forwad.
 
Currently:
Zitto asema kuitana dadangu, ndugu yangi, mdogo wangu, n.k ni uvunjaji wa kanuni za bunge. wabunge na mawaziri waitane kwa vyeo vyao au majina yao halisi.
Spika -amuunga mkono.

Hawa wabunge hawajui kuwa wako kazini..they should be more serious

kuh swala la Lema ... wawakilishe ofisini.. jioni au sahizi they hav to do it ..walijikoroga sasa ..no way out!!
 
Tupo pamoja 2mechoka kuburuzwa maisha bora hatuoni sasa tupo tayari kwa lolote.
 
Mh. Lazaro Nyalandu Naibu waziri wa Viwanda na biashara amemtakia mke wake happy valentine kabla ya kujibu swali la msingi aliloulizwa bungeni


ha ha ha ha ha lol! haya bana yani tumewatuma dodoma kwenda kutumiana salamu za valentine...
 
Spika ndiye anamfikisha WM hapo. Yeye angejibu aidha kisiasa au kwa kutumia vifungu vilivyopo na sio kumwambia Lema alete uthibitisho. She has unknowingly over jumped the trigger. Atulie ainywe mwenyewe..
 
Hata tukiacha hii, Pinda kisaha lidanyanya Bunge mara kadhaa -- moja ni pale alipoliambia kuwa mkataba kati ya serikali na RITES umevunjwa, kumbe bado kama alivyosema Wzaziri wa Mawasiliano Nundu alipokyutana na wafarnyakazi wa TRL wiki iliyopita.

Nundu aliumbuka pale mmoja wa wafanyakazi alimtolea kavu kavu kwamba mbona Pinda alisema mkataba ulivunjwa? Waziri akawa anakenua meno tu na kutizama chini.

Ingawa hizo 'danganya' zingine za pindi hazihusu suyalka hili, lakini linaonyesha jinsi kiongozi huyo mkuu wa shughuli za kiserikali alivyo muongo aliyebobea.

Lakini nafikiri kama kawaida yake, Makinda na Pinda watategemea tu uwingi wa Wabunge wa CCM kwani hawa wengi ni "yes' men.

Mkuu usisahau lile la Albino mpaka akalia bungeni.
PINDA IS TOOTHLESS DOG....Hana lolote ni bora lowassa mara mia maana alikua mwizi lakini kazi anachapa....sasa huyu haeleweki nchi inaelekea shimoni yeye kazi kujitetea tu kua ni mtoto wa mkulima na aisyependa starehe!!! Nonsense.
 
lema atapeleka kwa speaker ofsin halipo tena:clap2::clap2::clap2: mana linapoteza muda badala ya kuchangia mambo ya muhimu:laugh:


Mlishalikoroka sasa mnaanza kufunikafunika sio.... Mnatuletea udikteta... Hii sio bongo ya 47.. Mkikaa vibaya mtaondoka kwa aibu kama Hosn Mubrk.. You better be careful yoooooh!!!!
 
Leama,tupo nyuma yako.Dr. RWAITAMA JANA KAKUMWAGIA SIFA,AKAMPA MAKAVU PINDA.Sasa leo tupo pamoko.
 
Mlishalikoroka sasa mnaanza kufunikafunika sio.... Mnatuletea udikteta... Hii sio bongo ya 47.. Mkikaa vibaya mtaondoka kwa aibu kama Hosn Mubrk.. You better be careful yoooooh!!!!

Hakuna kitu cha namna hiyo hapa bongo, lema kaambiwa apeleke ofsni

Hapa speaker amefanya kitu cha mbolea mana angepoteza muda wa watanzania
 
Ushahidi, kisheria, kibunge, ki-intelijinsia, kisiasa, ki-common sense all favours chadema more than PM. Kwa maneno mengine CDM ina wakati mzuri sana wa kurudisha heshima kwa ku-dela na watu dhaifu kama Pinda.

One of the things made Mwakyembe and his team popular is his influence to cause former PM to step down instantly! with this evidence CDM have got all reasons to force PM to step down at least to discpline other MPs indirectly.

Nistashangaa sana kama CDM itamkaukia Pinda katika hili, komaeni naye tumieni uwezo wenu woote ajiuzulu! that is another campaign for you in 2015!!

Kama Waberoya umeliona hili naamini hata Wabunge wa CCM wameuona!
 
Mh. Lazaro Nyalandu Naibu waziri wa Viwanda na biashara amemtakia mke wake happy valentine kabla ya kujibu swali la msingi aliloulizwa bungeni

na tunamlipa kwa utumbo huo.
 
Ndugu wana JF naomba nifahamishwe nini kimeendelea leo kuhusu hoja ya mheshimiwa lema kuwa waziri mkuu amedanganya umma. Maana alipewa siku tatu kuwakilisha utetezi wake.
 
Kuna thread tayari ipo na inatupatia updates zote, ungana nayo utayajua yanayojiri.
 
kwa sababu huyu mtoto wa mkulima ameshindwa kujitenga na mafisadi, basi hapa ndo mahali pa kumbana asijifanye ndumila kuwili. kwa nini mtu mzima kama huyu anatudanganya mchana kweupe???
 
Mbowe ndo amemaliza kutajhi Mawaziri Vivuli. Amesema kwa sasa Baraza kivuli litakuwa la CDM pekee hadi hapo watakapokuwa wamepatana na wapinzania wenzao.
 
My big worry is hata mimi nina evidence kuwa makada wa ccm na jeshi la polisi wakiongozwa na Zuberi ambaye ni Ocd,ndio chanzo cha machafuko Arusha na kusababisha vifo vya raia wasio na hatia.
 
Back
Top Bottom