Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,263
- 684
Zitto anawarekebisha manaibu mawaziri wanapojibu maswali wasiwaite wabunge dadazao, kakazao, rafiki yangu wa karibu,.....Suala la Lema kwa sasa halipo. Labda jioni au limepotezewa?
lema atapeleka kwa speaker ofsin halipo tena:clap2::clap2::clap2: mana linapoteza muda badala ya kuchangia mambo ya muhimu:laugh: