Show ya Lema vs Pinda featuring Makinda

Show ya Lema vs Pinda featuring Makinda

yani cha moto watakiona makinda mpak ile kwake na kaka yake pinda wanaye fanana
 
Anapeleka kwa speaker mana haina mantiki kuwasilisha bungeni na kupoteza muda

Sasa hivi ni muda wa kujadili maendeleo

Maendeleo gani yatakayojadiliwa na wabunge wa CCM?? Hapa wameona ushahidi utamuumbua waziri mkuu na huenda yanaweza kutokea yale yaliyomtokea Lowassa kupelekea waziri mkuu kujiuzuru. Wanataka kuipotezea hii ishu!!
 
nishaurini ninao ushahidi wote wa mauaji ya wananchi arusha,ninataka watanzania wajue ukweli ili tujue lema na pinda nani mwongo nitumie njia gani kufikia umma.pinda amepewa ushahidi na polisi ambao walisha edit hivyo anafikiri yeye yupo sahihi wakati amejipalia makaa ya mawe kichwani.

acha uoga mkuu kuwa jasiri -mpatie kubenea atairusha, mpatie mnyika nenda kwenye facebook account ya mnyika mwambie una hiyo nondo kwa kumtumia private message atakupa maelekezo umpatie nani ifike kwake -please acha kukalia ushahidi kumbuka unafanya sehemu yako kuikomboa nchi. Waweza pia kumpatia dr. Kitila mkumbo pale udsm -tuungane kuikomboa nchi pamoja tunaweza.
 
Anna kasema ripot iende ofisin kwake kwa maandishi,nahsi wanataka kuchakachua taarifa
 
Anna kasema ripot iende ofisin kwake kwa maandishi,nahsi wanataka kuchakachua taarifa

Mi ningemshauri lema asipeleke, unless iwe alipewa maelezo rasmi kuwa apeleke kwa maandishi. Otherwise, kama ni yale maagizo ya pale bungeni peke yake, amwambie spika kuwa yeye aliandaa maelezo ya kuwasilisha bungeni.
 
Anasikitisha sana, kukurupuka kutamcost sana, mpaka kakumbushwa!!! nahisi alifikiri kila mtu bongo lala, na bado tunamgoja Lema atakapoita waandishi wa habari.

Utujuze mama tufuatilie live. Tena ningeshauri Lema apeleke hiyo taarifa kwa Spika na atoe nakala kwa vyombo vya habari.

Supremacy of "truth" by Government is coming to an end!
 
Mi ningemshauri lema asipeleke, unless iwe alipewa maelezo rasmi kuwa apeleke kwa maandishi. Otherwise, kama ni yale maagizo ya pale bungeni peke yake, amwambie spika kuwa yeye aliandaa maelezo ya kuwasilisha bungeni.

Mkuu, maelekezo ya Spika akiwa bungeni ni amri halali
 
spika kastuka........maana ilikuwa dhahiri shairi pinda aliongopa wala hakuna urojo katika hili...........
 
hii ishu imekaa vibaya hata kwa wahisani kwani kidonda kilichoanza kupona kimefumuliwa upya.

Ni kweli PhD,
Haijakaa poa makinda sijajua kasoma wapi na performance yake Darasani,

Alikurupuka sana akijua Lema Atagwaya na kufuta kauli, Inasikitisha watu tulishaanza kusahau sasa wanatukumbusha upya
 
Nishaurini ninao Ushahidi wote wa mauaji ya wananchi Arusha,ninataka watanzania wajue ukweli ili tujue Lema na Pinda nani Mwongo nitumie njia gani kufikia umma.Pinda amepewa ushahidi na polisi ambao walisha edit hivyo anafikiri yeye yupo sahihi wakati amejipalia makaa ya mawe kichwani.


mwaga hapa jamvini na utawafikia wote bila mchakachuo
 
Ninaushahidi pia niambieni nitumie njia gani umma ufahamu ukweli kwani ndugu yangu aliuwawa na hakuwepo karibu na kituo kama taarifa ya polisi inavyosema M.50 karibu na kituo jamaa alipigwa risasi na polisi tena anayemfahamu kwa sura na jina zaidi ya kilomita 2.5 kutoka kituo cha polisi.

Mkuu shusha ushahidi hapa jamvini wa jina la aliyeuawa, na cheti cha daktari kinachothibitisha hayo ili Kumprove wrong Mzee Pinda
 
Spika amehairisha bunge bila kuzungumza lolote kuhusu hatima ya Lema kuzungumziwa.

Kumaliza kipindi cha bunge bila kuzungumzia suala hili kwa mkwara kama spika alivyoahidi ni dhahiri kwamba issue hii imewakalia vibaya CCM na wanaona bora liishe kimya kimya
 
huyu mama ndo maana kuna mtu humu alimfananisha sura yake na kinu...maana anatia hasira sana watu..
 
Back
Top Bottom