OscarkambonaJr
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 2,021
- 3,380
Au sio!Jitu lenye roho nyeusi utalijua tu
Watu walikuwekea bure ukasoma leo unaita watu kuku bila kujua wewe ndiyo ulikuwa kuku wa kwanza kumwagiwa huo mchele
Hicho unachoona cha msingi sina hata mpango nacho ila acha roho mbaya wema unalipaAu sio!
"Akili za kuambiwa changanya na za kwako" JK
Note: ukisha changanya na za kwako hauwezi kubaki kuwa kuku tena bali unakua EAGLE.
So hilo dua lako haliwezi kunipata.... na Mimi sio mzinzi..siwezi kukupitia!!!
You - You feel me?
Anatakiwa aanze kurecord vipindi vya kutiririsha madini kama huyu jamaa hapa chini;-
View: https://youtu.be/LISs8jqPe0s?si=rS6eeMyt1zfmBhGd