Shout-out to Mshana Jr

Jitu lenye roho nyeusi utalijua tu
Watu walikuwekea bure ukasoma leo unaita watu kuku bila kujua wewe ndiyo ulikuwa kuku wa kwanza kumwagiwa huo mchele
Au sio!

"Akili za kuambiwa changanya na za kwako" JK

Note: ukisha changanya na za kwako hauwezi kubaki kuwa kuku tena bali unakua EAGLE.

So hilo dua lako haliwezi kunipata.... na Mimi sio mzinzi..siwezi kukupitia!!!

You - You feel me?
 
Au sio!

"Akili za kuambiwa changanya na za kwako" JK

Note: ukisha changanya na za kwako hauwezi kubaki kuwa kuku tena bali unakua EAGLE.

So hilo dua lako haliwezi kunipata.... na Mimi sio mzinzi..siwezi kukupitia!!!

You - You feel me?
Hicho unachoona cha msingi sina hata mpango nacho ila acha roho mbaya wema unalipa
 
Mganga wa kienyeji huyo
008a08cdad4008471e5debe4db286143.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom