MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,706
- 4,923
Straight to the point;-
Dah huyu mwamba Mshana Jr ..kuna mambo anaandika..and you guys need to read them in between the lines...
And i tell you what...kuna sentence yake moja niliisoma katika uzi wangu ( HISTORIA YA MZEE KIPUSA ) na ika click kwenye mind, then ikanipelekea kudiscover ya kwamba.
Katika maisha , watu hupitia SHIDA na CHANGAMOTO mbali mbali , ambazo hutokana na LAANA, GUNDU, MIKOSI, BALAA, na MINUKSI. Hivi vitu ndivyo hublock Baraka ambazo zimo kwenye mikono yetu.
Dah , mpaka naogopa kumwaga mchele....naomba niishie hapo!
Salute sana kwako Mwamba Mshana Jr . Hiyo ndiyo raha ya kusoma vitu vya mtu ambae anajua anachokiandika.
Ushauri: Ndugu zangu, tukumbuke kusali na kuomba toba na rehema kila uchwao. Mwenye macho na aone na mwenye masikio na asikie.
Hand on chin , this is what I got down on my knees. Pe-Pee-Pe-Peace to you All
Dah huyu mwamba Mshana Jr ..kuna mambo anaandika..and you guys need to read them in between the lines...
And i tell you what...kuna sentence yake moja niliisoma katika uzi wangu ( HISTORIA YA MZEE KIPUSA ) na ika click kwenye mind, then ikanipelekea kudiscover ya kwamba.
Katika maisha , watu hupitia SHIDA na CHANGAMOTO mbali mbali , ambazo hutokana na LAANA, GUNDU, MIKOSI, BALAA, na MINUKSI. Hivi vitu ndivyo hublock Baraka ambazo zimo kwenye mikono yetu.
Dah , mpaka naogopa kumwaga mchele....naomba niishie hapo!
Salute sana kwako Mwamba Mshana Jr . Hiyo ndiyo raha ya kusoma vitu vya mtu ambae anajua anachokiandika.
Ushauri: Ndugu zangu, tukumbuke kusali na kuomba toba na rehema kila uchwao. Mwenye macho na aone na mwenye masikio na asikie.
Hand on chin , this is what I got down on my knees. Pe-Pee-Pe-Peace to you All