Shout-out to Mshana Jr

Shout-out to Mshana Jr

Huu nao ni utabiri au ? Mshana Jr yupo vizuri kwenye mambo yasiyoeleweka.
Only the "DEEP DIVERS " can understand him

#infinityWaters
DeepDiver-Gallery-He-OrbMdjEy.jpg
 
Huwezi kuondoa Negative Energy zilizo kuwa blocked kwenye mwili kwa kuomba. Nafahamu kuwa unaweza kuondoa hizo energy kwa kufanya Meditation ama Yoga. Hapo ndipo hizo nguvu zitakuwa released
 
Huwezi kuondoa Negative Energy zilizo kuwa blocked kwenye mwili kwa kuomba. Nafahamu kuwa unaweza kuondoa hizo energy kwa kufanya Meditation ama Yoga. Hapo ndipo hizo nguvu zitakuwa released
daaaaah Yani Hadi muda huu, sijajua maana halisi ya meditation
 
Huwezi kuondoa Negative Energy zilizo kuwa blocked kwenye mwili kwa kuomba. Nafahamu kuwa unaweza kuondoa hizo energy kwa kufanya Meditation ama Yoga. Hapo ndipo hizo nguvu zitakuwa releas

Huwezi kuondoa Negative Energy zilizo kuwa blocked kwenye mwili kwa kuomba. Nafahamu kuwa unaweza kuondoa hizo energy kwa kufanya Meditation ama Yoga. Hapo ndipo hizo nguvu zitakuwa released
Ipo hivi:- ndani ya miili yetu kuna Mifupa,..ambayo chakula chake ni intelligence Ili kuifanya Mifupa kukuwa na kustawi. Nje ya miili yetu kuna Universe, ambayo chakula chake ni maneno . Kwahiyo basi ndiyo kusema ...mtu hapaswi kuruhusu maneno mabaya ya dictate kilichomo ndani ya mwili wake. Sina hakika kama umenielewa!
 
Ipo hivi:- ndani ya miili yetu kuna Mifupa,..ambayo chakula chake ni intelligence Ili kuifanya Mifupa kukuwa na kustawi. Nje ya miili yetu kuna Universe, ambayo chakula chake ni maneno . Kwahiyo basi ndiyo kusema ...mtu hapaswi kuruhusu maneno mabaya ya dictate kilichomo ndani ya mwili wake. Sina hakika kama umenielewa!
Tatizo mnapenda kubishana,badala ya kutaka kujifunza. Energy zilizo kuwa trapped kwenye mwili, huwezi kuziondoa kwa kuomba. Nitatoa hili somo siku moja Mungu akijaalia.

Jifunze pia CAUSE and EFFECT LAW.
Chochote unacho ki experience ni matokeo tu.. either it was caused conciously ama unconciously.
It will bring the same effect.
 
Tatizo mnapenda kubishana,badala ya kutaka kujifunza. Energy zilizo kuwa trapped kwenye mwili, huwezi kuziondoa kwa kuomba. Nitatoa hili somo siku moja Mungu akijaalia.

Jifunze pia CAUSE and EFFECT LAW.
Chochote unacho ki experience ni matokeo tu.. either it was caused conciously ama unconciously.
It will bring the same effect.
Au sio!
 
Straight to the point;-

Dah huyu mwamba Mshana Jr ..kuna mambo anaandika..and you guys need to read them in between the lines...

And i tell you what...kuna sentence yake moja niliisoma katika uzi wangu ( HISTORIA YA MZEE KIPUSA ) na ika click kwenye mind, then ikanipelekea kudiscover ya kwamba.

Katika maisha , watu hupitia SHIDA na CHANGAMOTO mbali mbali , ambazo hutokana na LAANA, GUNDU, MIKOSI, BALAA, na MINUKSI. Hivi vitu ndivyo hublock Baraka ambazo zimo kwenye mikono yetu.

Dah , mpaka naogopa kumwaga mchele....naomba niishie hapo!

Salute sana kwako Mwamba Mshana Jr . Hiyo ndiyo raha ya kusoma vitu vya mtu ambae anajua anachokiandika.

Ushauri: Ndugu zangu, tukumbuke kusali na kuomba toba na rehema kila uchwao. Mwenye macho na aone na mwenye masikio na asikie.

Hand on chin , this is what I got down on my knees. Pe-Pee-Pe-Peace to you All
Ok sawa
 
Straight to the point;-

Dah huyu mwamba Mshana Jr ..kuna mambo anaandika..and you guys need to read them in between the lines...

And i tell you what...kuna sentence yake moja niliisoma katika uzi wangu ( HISTORIA YA MZEE KIPUSA ) na ika click kwenye mind, then ikanipelekea kudiscover ya kwamba.

Katika maisha , watu hupitia SHIDA na CHANGAMOTO mbali mbali , ambazo hutokana na LAANA, GUNDU, MIKOSI, BALAA, na MINUKSI. Hivi vitu ndivyo hublock Baraka ambazo zimo kwenye mikono yetu.

Dah , mpaka naogopa kumwaga mchele....naomba niishie hapo!

Salute sana kwako Mwamba Mshana Jr . Hiyo ndiyo raha ya kusoma vitu vya mtu ambae anajua anachokiandika.

Ushauri: Ndugu zangu, tukumbuke kusali na kuomba toba na rehema kila uchwao. Mwenye macho na aone na mwenye masikio na asikie.

Hand on chin , this is what I got down on my knees. Pe-Pee-Pe-Peace to you All
Ushauri: Ndugu zangu, tukumbuke kusali na kuomba toba na rehema kila uchwao. Mwenye macho na aone na mwenye masikio na asikie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee...huenda kuna Wana JF wananiombea bila Mimi kujua...cause jana nilipigiwa simu na mtu...tukaongea...KILA nilivyokua nikiisikiliza sauti yake...ni kama ilikua inanijaza Matumaini ya kuendelea kupambana...japo tulikua tunaongea vitu vingine kabisa vya kusalimiana....

I was weak...lakini mara baada ya maongezi ..nikapata nguvu za ajabu...asee Mimi sielewi asee...nafikiri Mungu alikua ndani yake...

Question to Mshana Jr

Hivi ndani ya sauti ya mwanadamu kuna nini?

Kwanini kuna baadhi ya watu hutumia mizizi kuiweka mdomoni na kisha kuongea na watu Ili kukubaliwa mambo yao?
Kuna namna Mungu huongea nasi kupitia watu wake na si lazima hayo mazungumzo yakulenge wewe lakini kadiri mnavyoongea ni kama anayezungumziwa ni wewe mwenyewe kupitia wewe na huyo mtu.. Its a very interesting situation

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom