Wakati nakuja hapa kuweka ombi langu la ushauri nimekutana na uzi unaoelezea owning a business or being self employed. Mimi ni mmoja ya watu nilioacha ajira na kuamua kujiajiri.
Kumekua na changamoto nyingi katika hili. Ni miaka 2 sasa lakini bado na strugle ingawa fedha ya kula inapatikana. Problem ni kwamba i have to work hard na sina hela za ku hire watu wazuri ambao tunaweza kusaidiana.
miezi miwiili zilizopita amekuja jamaa, ambaye alikuja kama mteja, aka sub contract kazi kwangu. Nikaifanya ile kazi ikakamilika. Bahati nzuri alinilipa pesa zote up front hivyo sikupata shida ya kufanya project hiyo.
Jamaa ana kampuni kubwa na initialy nilishangaa ni kwa vipi ana sub contract kazi kwangu. Kumbe alikuwa ananisoma. Alisikia uwezo wangu na alitaka kuthibitisha. Kwa kipindi chote cha hiyo kazi alikuwa karibu na mimi na kwa kweli tuliongea mengi kuhusu biashara za IT ambazo mimi nafanya pia.
Sasa juzi hapa amekuja akaniambia, unajua wewe iMind unauwezo mkubwa, ila tatizo haujapata watu wazuri wa kufanya nao kazi.
Akaniambia una idea nzuri na unajituma, ila itakuwia ngumu kutoka kwa sababu kazi zinatolewa kwa kuwa na networks. Sasa akanishauri niungane naye, ili tufanye kazi pamoja. Mimi niwe ARCHITEC wake wa biashara na yeye atakua ana finance, kunipa resources na atatafuta masoko.
Ataniweka kwenye payroll yake na tutakubaliana % ya kupata katika revenue yaa kila business ninayo i buni na kuisimamia.
Hatukuongea ni % ngapi nitapata na mshahara ni shs ngapi.
Tayari nina software product ambazo ninazo na yeye amezipenda na kunihakikishia kuwa anaweza kuziuza ndani na nje ya nchi baada ya marekebisho machache.
Sasa swali langu ni je nimkubalie? Na kama nikikubali nita calculate vipi au nitatumia utaratibu gani wa kujua hiyo %? au tutakubaliana tu kwa figure na itakua how much? Na hizi product ambazo nimeshazibuni na kutengeneza working prototype tunazifanyaje? Naombeni ushauri wenu tafadhali
Kumekua na changamoto nyingi katika hili. Ni miaka 2 sasa lakini bado na strugle ingawa fedha ya kula inapatikana. Problem ni kwamba i have to work hard na sina hela za ku hire watu wazuri ambao tunaweza kusaidiana.
miezi miwiili zilizopita amekuja jamaa, ambaye alikuja kama mteja, aka sub contract kazi kwangu. Nikaifanya ile kazi ikakamilika. Bahati nzuri alinilipa pesa zote up front hivyo sikupata shida ya kufanya project hiyo.
Jamaa ana kampuni kubwa na initialy nilishangaa ni kwa vipi ana sub contract kazi kwangu. Kumbe alikuwa ananisoma. Alisikia uwezo wangu na alitaka kuthibitisha. Kwa kipindi chote cha hiyo kazi alikuwa karibu na mimi na kwa kweli tuliongea mengi kuhusu biashara za IT ambazo mimi nafanya pia.
Sasa juzi hapa amekuja akaniambia, unajua wewe iMind unauwezo mkubwa, ila tatizo haujapata watu wazuri wa kufanya nao kazi.
Akaniambia una idea nzuri na unajituma, ila itakuwia ngumu kutoka kwa sababu kazi zinatolewa kwa kuwa na networks. Sasa akanishauri niungane naye, ili tufanye kazi pamoja. Mimi niwe ARCHITEC wake wa biashara na yeye atakua ana finance, kunipa resources na atatafuta masoko.
Ataniweka kwenye payroll yake na tutakubaliana % ya kupata katika revenue yaa kila business ninayo i buni na kuisimamia.
Hatukuongea ni % ngapi nitapata na mshahara ni shs ngapi.
Tayari nina software product ambazo ninazo na yeye amezipenda na kunihakikishia kuwa anaweza kuziuza ndani na nje ya nchi baada ya marekebisho machache.
Sasa swali langu ni je nimkubalie? Na kama nikikubali nita calculate vipi au nitatumia utaratibu gani wa kujua hiyo %? au tutakubaliana tu kwa figure na itakua how much? Na hizi product ambazo nimeshazibuni na kutengeneza working prototype tunazifanyaje? Naombeni ushauri wenu tafadhali