Should CHADEMA Fire Zitto?

Should CHADEMA Fire Zitto?

Should Zitto get FIRED from CHADEMA?

  • YES

    Votes: 137 65.9%
  • NO

    Votes: 57 27.4%
  • May be

    Votes: 10 4.8%
  • I don't know

    Votes: 4 1.9%

  • Total voters
    208
Status
Not open for further replies.
Bern ni tatizo kaka! Na ukweli tutaujua tu.Ila nashangaa wanaomshutumu mtu mmoja wakati ni mgogoro ambao Padri ameusimamia alafu anakaa kimya ili aonekane msafi. Nasema tena ukweli utajulikana tu.
Ukweli upi tena? Mwaga humu tuujue basi.
Ben yeye kakiri kwamba alikuwa pamoja na 'Masalia' ila baadaye akatubu kwa Chama chake na kisha akawasaliti 'Masalia' wenzake.

Sasa Masalia wanakiri Ben ni msaliti wao, sasa nao watuambie mission yao ilikuwa nini?
 
nimekaa na kutafakari kuhusiana na haya yanayo mwandama muheshimiwa zitto. Ukweli tuludi nyuma miaka ya 2005 hadi hapa tulipo, tunaona kuna nyakati tofauti zitto amezipitia. Ndugu zanguni je? Zitto wa 2005 na huyu wa leo ana tofauti ipi? Na je tofauti kama ipo, chanzo chake ni kipi? Tuangalieni waliyopitia mabele marando, augustino mrema na wengineo hayana tofauti na haya anayopitia zitto ivi sasa. Jamani ndugu zangu tusiwe wepesi wa ku hukumu na kusahau fadhila, na kama kuna sehemu amekosea basi yatupasa kumsamehe na kumueleza alipo kosea na si ku mchafua kama baadhi ya mapandikizi watumikavyo kumchafua zitto.
tatizo jamaa anajiona yeye ni bora bila yeye cdm haiwezi kumbe bila cdm yeye anaweza toweka kama tambwe hiza.mpenda madaraka sana huyu jamaa.haaminiki tena.kama anadhani yeye ni kichwa ahamie kwa magamba wanaomtumia kuivuruga cdm.mnafiki mkubwa zzk
 
Sijui kama umesoma ulicho kiandika! Yani hata hujui maana ya adult! Umesha muita aduilt alaf unasema under18 na kushauri ukalale!
Mshirikina ni mshirikina tu na amesema mwenyewe hakuna anaye msingizia hapa!
jaribisha kushirikisha ubongo wako kabla ya kuchangia mada.
Usiwe kama adult person ambaye ana miaka chini ya 18.
 
Nadhani hata swal la ushirikina ana singiziwa! Sindio?
Mimi kwangu wote ni wasaliti hasa prezooo!

Ipo siku ukweli utabainika.. Na ndipo hao kina saa 8 mtawaona choo
 
aombewee msamaha na watu kwa kipi?CHAUMMA na PM7 imeishia wapi?nitashangaa watakaokuwa wakiendelea kumuamini huyu jama, hata akiwa Rais kama anavyoota watakaompinga kuna siku atawatolea tamko la kuua wote kiuchawi, kiongozi gani anayeita watu panya na hata kutumia kinga za kichawi
 
Tatizo la wanaomtetea Zitto ni watu ambao hawajui hata kujipanga, ni heri mngekaa kimya vumbi likatulia kwanza badala ya kuendelea kutetea bila uwezo wa hoja.

Juzi nilandika kuhusu Juliana Shonza kuishi nyumbani kwa Mwigulu Dodoma wakati wa Bunge la Bajeti , hakujibu wla kujitokeza, niliandika Kuhusu Mwampamba , Mchange na juu ya wao kwenda nyumbani kwa Mwigulu hapa dsm na Dodoma, wamekaa kimya kwani wanaujua ukweli.

Tatizo hawajui kuwa mipango yao ilijulikana mwaka mmoja uliopita na wakawekewa mitego bila kujijua, na nawaambia kuwa hata hao watatu hawapo salama, yuko atakayewaumbua muda sio mrefu.

Heri Kitila ameamua kujikalua kimya kwani msaidizi wake Mwakajila ameshiriki kwenye masalia..........
 
Tatizo sio Zitto, tatizo ni wachagga na watu wa kaskazini wanataka kuwa na hatimiliki kwenye chama. Ila kura, wanataka za makabila mengine!
kama ccm mkuu,wao wanataka zaidi watoto wa vigogo warithi madaraka yote ndani ya ccm,na taifa.lakini kura wanataka za wote!
 
Endeleeni kumuhandama. Mnataka hata panya asibaki kwenu, kwikwi, haaaa....chezea nyepesi nin? Subirini aingie ikulu, hata tembo wetu watakauka na tausi pale magogoni. Mtoto ameaga kwao kigoma. Duu haya ya cdm ,sijui ccm wao nadhani hata inzi kwao habaki! Kazi kwelikweli.
 
Nimekaa na kutafakari kuhusiana na haya yanayo mwandama muheshimiwa Zitto. Ukweli tuludi nyuma miaka ya 2005 hadi hapa tulipo, tunaona kuna nyakati tofauti Zitto amezipitia. Ndugu zanguni Je? Zitto wa 2005 na huyu wa leo ana tofauti ipi? Na je tofauti kama ipo, chanzo chake ni kipi? Tuangalieni waliyopitia Mabele Marando, Augustino Mrema na wengineo hayana tofauti na haya anayopitia Zitto ivi sasa. Jamani ndugu zangu tusiwe wepesi wa ku hukumu na kusahau fadhila, na kama kuna sehemu amekosea basi yatupasa kumsamehe na kumueleza alipo kosea na si ku mchafua kama baadhi ya mapandikizi watumikavyo kumchafua Zitto.

Wewe upo tayari uwekwe kwenye kundi la kumshauri celebrity ZZk??? Je unafikiri kakosa washauri??? Kamuulize mzee mtei au Kitila mkumbo (rafikiye ZZK) kama kakosa ushauri au anakaidi.

 
Zitto hajakosea, bali ana weaknesses kama binadamu. Tatizo ni kuwa watu wanatumia weakness zake kumdhoofia, ili kuihujumu CDM...

Hizo weakness ameshindwa kuzikubali na kuzitendea kazi. Amekataa kuamini kuwa wanaompenda wanamwambia ukweli na badala yake hata ukipenda vipi kum-support unashindwa maana mambo anayofanya hadharani inaonyesha kabisa hata yeye mwenyewe haamini anachokifanya ila anasukumwa na mslahi fulani....He is not true to himself....Ni kazi zana kuficha kitu usichokiamini!

Tangu muda mrefu ZZK amepewa ushauri na watu mbali mbali na yeye utaona ana badilika kwa muda na mara kama vile anahamanika anarukia kufanya vitu vinavyo disappoint kupita maelezo....Hayuko consistent na wala hawezi ku-stick into something na ukategemea akaendelea kusimamia hicho anakieleza...Kila siku yuko kama kinyonga na kwavile hawezi ficha hisia ni rahisi kumsoma moyo wake uko kwa nani na kwanini.

Mimi ni moja ya watu waliovutiwa na ZZK, Mnyika, Mbowe, Lisu na Dr. Slaa katika uongozi wa CDM wa sasa wengine siwafahamu vizuri maana sijapata kuwa karibu nao so siwezi wajua misimamo yao. Lakini katika wote nimeweza kujenga imani kwa Lisu maana nilipata nafasi ya kumfahamu muda mrefu kabla hata ya ubunge wake through his wife Alicia...Hanifahamu but me I know his details siku nyingi sana na yuko very consistent na sincere na kila kauli anayoitamka maana ana maanisha hata kama atakosea but atleast he speaks his mind, Slaa also is my close person japo naye hanifahamu kabisa lakini I had many chances to study him through close friends tangu nikiwa mdogo sana na alipoondoka CCM kwa dhuluma aliyofanyiwa I was the happiest person kwani nilijua upinzania sasa unapata watu wenye guts; na Mbowe huyu tangu nikiwa A-level had chance to interact with him alipokuwa anakuja shuleni kwetu ....Very good hearted person na asiye penda kujivunia pia yuko very flexible...Mnyika yuko makini sana na inahitaji uvumilivu kuweza ku-predict tabia yake maana hakupi nafasi ya kumsoma kwa haraka so sikumwelewa kabisa na mpaka sasa bado nipo na question marks kibao juu yake japo kuwa zinaanza ku-turn positive maana kama ndivyo navyomfikiria basi is one of a person ambaye unaweza ukawa confidant kwake..Jambo moja nililopenda hakurupuki na wala si rahisi kumshawishi kwa haraka kabla hajajiridhisha kuwa you are a person to be trusted....Lakini ndugu yangu huyo ZZK hata kupenda ku-associate naye inabidi ujiangalie mara mbili mbili maana ni rahisi kuku-disapoint mapema so to keep such kind of people unatakiwa wawe comrades tu na mkifikisha malengo (common interest) you level back to your previous status na kila mmoja anachukua ustaarabu wake.

What point do I want to make...is gud to trust people lakini how can you trust a person ambaye hajakuonyesha trust? Na ndiyo shida aliyonayo ZZK na wanasiasa wengine....Watu wengi wanakuwa disapointed kwa maana wanakuwa wepesi kuwa persuaded badala ya ku-trust characters....You can cheat me for a first time lakini give me time to read your mind basi hutokaa ugombane na mimi maana I know how to keep with people. Siyo kila mmoja ni wakuaminiwa na wala siyo kila mmoja wa kufanya nao kazi kwa karibu maana kuna wengine unawachukulia walivyo na unawapa umuhimu wao katika nafasi wanayostahili.

Lazima kama raia tujifunze jinsi ya kuchukuliana na watu, kuna ambao pamoja na madhaifu yao tunawahitaji kwa vipaji vyao, kuna wengine ambao wanafaa kuaminiwa katika mambo nyeti mfano kwa sasa tunatakiwa kupata Rais atakayekuwa trustworthy kurekebisha madudu mengi ya nchi yetu..We should not just be persuaded na maneno ya watu bila kuwa na uhakika na character zao ndiyo misingi ya kuwa ana watu wenye records ambao unaweza kuwa evaluate na kuamini kuwa kweli this one even though at personal level he is not my friend lakini kama Taifa anatakiwa apewe hili jukumu kutusaidia tuweze kufikia sehemu nzuri; many of us tuko very much persuaded kwaajili ya ukaribu, urafiki, uswahiba u-comrades hata kama characters wise unajua kabisa though I like my friend lakini hii kitu hawezi kuhimili..Siyo kuwa unamchukia laa bali hata kama ni mama, baba ama mtoto wako you know he cant deliver..Then why keep such a person kwa ushabiki tu?
 
Nimekaa na kutafakari kuhusiana na haya yanayo mwandama muheshimiwa Zitto. Ukweli tuludi nyuma miaka ya 2005 hadi hapa tulipo, tunaona kuna nyakati tofauti Zitto amezipitia. Ndugu zanguni Je? Zitto wa 2005 na huyu wa leo ana tofauti ipi? Na je tofauti kama ipo, chanzo chake ni kipi? Tuangalieni waliyopitia Mabele Marando, Augustino Mrema na wengineo hayana tofauti na haya anayopitia Zitto ivi sasa. Jamani ndugu zangu tusiwe wepesi wa ku hukumu na kusahau fadhila, na kama kuna sehemu amekosea basi yatupasa kumsamehe na kumueleza alipo kosea na si ku mchafua kama baadhi ya mapandikizi watumikavyo kumchafua Zitto.

Yaani usiwafananishe Marando na Mrema kwa ZZK kabisa sababu wale wametendewa na ZZK katenda kosa. Labda umfananishe na Lamwai RIP (traitor). Narudi kwenye mada zzk kweli kakosa lakini tukiwa waungwana tunatakiwa tuchunguze mengi na akikiri asamehewe.

Ielleweke ZZK kapata umaarufu akiwa bado mdogo hii mara nyingi kwa watoto wenye makuzi flani inawatesa kidogo ningeshauri CDM waliangalie.

Nashauri kwa nafasi aliyonayo CDM imuite kama kamati wamchukulie kama mtoto wao waende naye kama anavyotaka yeye ZZK mpaka afikie kukubali makosa yake alafu wakubaliane yasitoke nje ya hiyo kamati shughuli ziendelee.

Nina mengi ya kushauri nahisi yanahitaji kufunguliwa uzi wake
 
  • Thanks
Reactions: Ame
nimekaa na kutafakari kuhusiana na haya yanayo mwandama muheshimiwa zitto. Ukweli tuludi nyuma miaka ya 2005 hadi hapa tulipo, tunaona kuna nyakati tofauti zitto amezipitia. Ndugu zanguni je? Zitto wa 2005 na huyu wa leo ana tofauti ipi? Na je tofauti kama ipo, chanzo chake ni kipi? Tuangalieni waliyopitia mabele marando, augustino mrema na wengineo hayana tofauti na haya anayopitia zitto ivi sasa. Jamani ndugu zangu tusiwe wepesi wa ku hukumu na kusahau fadhila, na kama kuna sehemu amekosea basi yatupasa kumsamehe na kumueleza alipo kosea na si ku mchafua kama baadhi ya mapandikizi watumikavyo kumchafua zitto.
zitto hakuna anamchafua anajichafua mwenyewe yeye ndo aliwatafuta wakina juliana, mchange na wenzake p7 na hao wachawi wa kumwezesha kuwa hata panya wasio na makosa kwa kosa la mwingine panya wanakufa sasa nani anamchafua si yeye mwenyewe
 
Kwa sababu yeye jembe na nyota yake imenga'aa!
 
Zitto kama ni muungwana akawaombe msamaha wenzake chaman. akifanya hivyo nafikiri member wengi pia roho zao zitasamehe.
 
Walafi wa madaraka yanawatokea puani now.mkisikia saanane mnatafuta njia ya kutokea.Kwa taarifa yenu kuna masalia mwingine kapima upepo, yupo mbioni kujitoa kwny hcho kikundi cha usaliti.na amehaidi kumwaga makubwa zaidi ya alomwaga saanane.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom