Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,033
Hilo nakuunga mkono. Na me nilikua nalipinga sana zamani, ila sasa limeanza niingia akilini
Tatizo sio Zitto, tatizo ni wachagga na watu wa kaskazini wanataka kuwa na hatimiliki kwenye chama. Ila kura, wanataka za makabila mengine!