Shivji: Mimi ni muumini serikali mbili

Shivji: Mimi ni muumini serikali mbili

Gazeti la Nipashe linamnukuu Shivji akisema kuwa yeye ni muumini wa Muungano wa serikali 2; lakini hiyo quote ya 2005 anasema serikali 2 zitauuwa Muungano!
Hizo ndizo rangi za wanasiasa-wasomi uchwara na wachumia tumbo.
 
Mchambuzi. Kwani Shivji kubadilisha upande ni haramu?

Kubadilisha upande sio haramu ila HARAMU ni pale anapodai kwamba siku zote amekuwa muumini wa serikali 2 wakati maandiko yake yanamsuta. Wewe unaona hilo sio haramu?
 
Frankly, the failure to acknowledge that the TWO GOVERNMENT structure is unworkable is, in my opinion, the biggest blind spot in Mwalimu's vision of unity. I need not belabour the point for it has been debated and has been shown in practice to be unworkable. In fact, to continue to insist on it is the surest way of breaking the union.


FJM, tpaul, Mag3, JokaKuu, Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, MwanaDiwani, zomba, Ritz, ZeMarcopolo, Gamba la Nyoka, Mtanganyika Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, Pasco, Kitila Mkumbo, EMT, MTAZAMO, Dr.W slaa, Kobello Jasusi, zumbemkuu, Mimibaba, Zakumi, Invisible, mnyepe, Yericko Nyerere, FaizaFoxy, Dingswayo, Makusudically, Tumaini Makene, Nicholas


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums[/QUOTE]

Mkuu, kwa huu ushahidi, umemaliza kazi kabisa. Haya, sasa wale mnaomtetea huyu mhindi kigeugeu, njooni muone maandiko yake yanvyomsuta.
 
Last edited by a moderator:
"...Muungano..." - Mama Fatma Karume


Nimemsikiliza Mama Fatma Karume, kwa maoni yangu, huyu mama needs to be guided!, kuna vitu amezungumza ni urongo, mfano sababu za muungano, na ile hoja ya kabla ya Muungano ati Wanzanzibari walikuwa consulted, wakaulizwa na kukubali!, na mwandishi akaishia hapo as if huo ndio ukweli wenyewe!.

Kiukweli ili mtu kuwa ni mwandishi mzuri, wewe mwandishi mwenyewe you need to be very much informed!, ili ikitokea ukadanganywa una hoji zaidi!, ningekuwa mimi huku naelewa Wanzanzibar were not consulted, Karume aliufanya siri, akampa likizo ya lazima Mwanasheria wake Mkuu wa wakati huo, Wolfgang Dourado, Mama aliposema Wanzibari walikuwa consulted, angeuliza how?!.

Nakumbuka ni Mama Karume huyu huyu andie aliyetoa siri ya Karume na wanae kuyamkimbia Mapinduzi, kwa kutoroka usiku usiku kwa mitumbwi na kuvukia Bagamoyo, kwenye kipindi kile akidai ati Karume hakuyakimbia Mapinduzi, bali alikuwa akiwawahisha wanae Amani na Ali shule walikuwa wakisoma nchini Malawi!.

She just needs to be guided mini cha kusema na mini cha kuacha!.

Pasco
 
Last edited by a moderator:
Nimemsikiliza Mama Fatma Karume, kwa maoni yangu, huyu mama needs to be guided!, kuna vitu amezungumza ni urongo, mfano sababu za muungano, na ile hoja ya kabla ya Muungano ati Wanzanzibari walikuwa consulted, wakaulizwa na kukubali!, na mwandishi akaishia hapo as if huo ndio ukweli wenyewe!.

Kiukweli ili mtu kuwa ni mwandishi mzuri, wewe mwandishi mwenyewe you need to be very much informed!, ili ikitokea ukadanganywa una hoji zaidi!, ningekuwa mimi huku naelewa Wanzanzibar were not consulted, Karume aliufanya siri, akampa likizo ya lazima Mwanasheria wake Mkuu wa wakati huo, Wolfgang Dourado, Mama aliposema Wanzibari walikuwa consulted, angeuliza how?!.

Nakumbuka ni Mama Karume huyu huyu andie aliyetoa siri ya Karume na wanae kuyamkimbia Mapinduzi, kwa kutoroka usiku usiku kwa mitumbwi na kuvukia Bagamoyo, kwenye kipindi kile akidai ati Karume hakuyakimbia Mapinduzi, bali alikuwa akiwawahisha wanae Amani na Ali shule walikuwa wakisoma nchini Malawi!.

She just needs to be guided mini cha kusema na mini cha kuacha!.

Pasco

Hili suala la muungano linazidi kuwa complicated kadri siku zinavyosogea. Hata kama CCM wakilazimisha serikali 2 kwa kutumia wingi wao vibaya bungeni, sioni kama muungano huu tulio nao utatulia--hauwezi kuwa stable hata siku moja!
 
Suala sio kwanini ame change ila issue ni yeye kukana kua hajawahi pendekeza serikali 3

I would have been surprised kama alishawahi kupendekeza serikali tatu. Ndiyo maana nilishangaa wakati Rais Kikwete alipomteua Jaji Warioba kuwa boss wa ile tume, baadhi ya waumini wa serikali tatu walilalama kuwa kwa nini watu kama Prof. Shivji, mtaalam wa masuala ya kikatiba, aliachwa.

Ameshawahi kuandika juu ya matatizo yaliyopo ndani ya Muugano, lakini kupendekeza serikali tatu kama solution? Sidhani.

Prof Shivji na Prof Othman(RIP) views zao dhidi ya Muungano na Nyererelism zinajulikana and, hence, I don't understand what all the fuss is about.

Blackstone once said that "Better that ten guilty persons escape than that one innocent suffer." Then, tukiwa chuo tukapewa swali: "It is better to imprison 99 innocent people than releasing one criminal" - Julius Nyerere. Discuss.

Hapo ili kupata maksi za kutosha ilibidi kwanza kujua nani atasahihisha huo mtihani na views zake juu ya Nyerere zilikuwaje. I am not sure this is still the case, but enzi hizo kumponda Nyerere academically, you gotta have the balls.

But pamoja na views zao, both professors were among the best teachers waliowahi kunifundisha. Walikuwa walimu wa ukweli.
 
Nawashangaa sana ikiwa wote mmeshindwa kumuelewa Professor Shivji.

Professor Shivji ni muumini wa Serikali mbili na hata nukuu yake hiyo mliyoiweka inadhihirish hivyo. Ambacho hamtaki kukisema ni Serikali mbili zipi anazoziongelea Shivji? Hamna pahala Shivji ameongelea kuwa serikali mbili ni Serikali ya Tanzania na Zanzibar, papo?

Nilivyomuelewa Shivji anaongelea Serikali mbili zenye maridhiano, bila ya hivyo muungano upo hatarini. Sioni pahala ameongelea ziundwe serikali tatu.

Serikali mbili zenye maridhiano kwa maana Serikali ya Tanganyika na Zanzibar na maridhiano - Mkataba. Kama ilivyo kwenye maridhiano ya awali ya Nyerere na Karume. Yaleteni muone halafu mtamuelewa Shivji.

Shivji anachelea kusema tu kuwa huu muungano aliyeuharibu ni Nyerere kuiuwa Tanganyika bila uhalali wowote.

Bomu hapa nilionalo si Shivji ni Nyerere.
 
Nawashangaa sana ikiwa wote mmeshindwa kumuelewa Professor Shivji.

Professor Shivji ni muumini wa Serikali mbili na hata nukuu yake hiyo mliyoiweka inadhihirish hivyo. Ambacho hamtaki kukisema ni Serikali mbili zipi anazoziongelea Shivji? Hamna pahala Shivji ameongelea kuwa serikali mbili ni Serikali ya Tanzania na Zanzibar, papo?

Nilivyomuelewa Shivji anaongelea Serikali mbili zenye maridhiano, bila ya hivyo muungano upo hatarini. Sioni pahala ameongelea ziundwe serikali tatu.

Serikali mbili zenye maridhiano kwa maana Serikali ya Tanganyika na Zanzibar na maridhiano - Mkataba. Kama ilivyo kwenye maridhiano ya awali ya Nyerere na Karume. Yaleteni muone halafu mtamuelewa Shivji.

Shivji anachelea kusema tu kuwa huu muungano aliyeuharibu ni Nyerere kuiuwa Tanganyika bila uhalali wowote.

Bomu hapa nilionalo si Shivji ni Nyerere.

unamuita Nyerere bomu? dah!

kweli huna nizam
 
unamuita Nyerere bomu? dah!

kweli huna nizam

Hauoni lilivyoripuka sasa hivi, nchi nzima tafrani.

Zidumuuuuuuu? fikra za nani? za Nyerere Serikali mbili au za Warioba Serikali tatu? au za Shivji serikali mbili za maridhiano?
 
Nawashangaa sana ikiwa wote mmeshindwa kumuelewa Professor Shivji.

Professor Shivji ni muumini wa Serikali mbili na hata nukuu yake hiyo mliyoiweka inadhihirish hivyo. Ambacho hamtaki kukisema ni Serikali mbili zipi anazoziongelea Shivji? Hamna pahala Shivji ameongelea kuwa serikali mbili ni Serikali ya Tanzania na Zanzibar, papo?

Nilivyomuelewa Shivji anaongelea Serikali mbili zenye maridhiano, bila ya hivyo muungano upo hatarini. Sioni pahala ameongelea ziundwe serikali tatu.

Serikali mbili zenye maridhiano kwa maana Serikali ya Tanganyika na Zanzibar na maridhiano - Mkataba. Kama ilivyo kwenye maridhiano ya awali ya Nyerere na Karume. Yaleteni muone halafu mtamuelewa Shivji.

Shivji anachelea kusema tu kuwa huu muungano aliyeuharibu ni Nyerere kuiuwa Tanganyika bila uhalali wowote.

Bomu hapa nilionalo si Shivji ni Nyerere.
FF Prof Shivji amesema kurudi Utanganyika ni kuvunja muungano akimaanisha kuwa serikali mbili ni SMZ na JMT.


Pili, Prof Shivji yupo katika video za mabaraza ya kata znz akisema, znz imeporwa madaraka yake. Katiba ya JMT haikifuata taratibu na ni haramu. Ametumia katiba hiyo harama kuhalalisha katiba ya 2010 ya znz.
Unaweza kuona jinsi SHivji anavyoyumba yumba bila sababu.

Tatu, amesemakurudi kwa TANGANYIKA kutachochea chuki dhidi ya wznz. Prof wetu ameshindwa kuona jinsi ubaguzi na chuki dhidi ya Tanganyika unavyotekelezwa na dola ya znz na wananchi wake.

Nne, Prof Shivji ametoa mifano ya muungano akificha yenye ukweli ili kuitetea znz. In general prof amepoteza ground na mwelekeo. Nina mheshimu sana, kwa hili la muungano kwangu amekuwa useless na sijui kwanini amekubali kununuliwa na kujivunjia heshima yake.
 
FF Prof Shivji amesema kurudi Utanganyika ni kuvunja muungano akimaanisha kuwa serikali mbili ni SMZ na JMT.


Pili, Prof Shivji yupo katika video za mabaraza ya kata znz akisema, znz imeporwa madaraka yake. Katiba ya JMT haikifuata taratibu na ni haramu. Ametumia katiba hiyo harama kuhalalisha katiba ya 2010 ya znz.
Unaweza kuona jinsi SHivji anavyoyumba yumba bila sababu.

Tatu, amesemakurudi kwa TANGANYIKA kutachochea chuki dhidi ya wznz. Prof wetu ameshindwa kuona jinsi ubaguzi na chuki dhidi ya Tanganyika unavyotekelezwa na dola ya znz na wananchi wake.

Nne, Prof Shivji ametoa mifano ya muungano akificha yenye ukweli ili kuitetea znz. In general prof amepoteza ground na mwelekeo. Nina mheshimu sana, kwa hili la muungano kwangu amekuwa useless na sijui kwanini amekubali kununuliwa na kujivunjia heshima yake.

Of course Zanzibar imeporwa madaraka yake nani asiyelijuwa hilo?

Kama Serikali mbili, na huku bara imeridhia iwe ya Tanzania lakini Zanzibar ina utaifa wake na kuna maridhiano yanayokubalika pande zote ni muono wake huo, kuna mahala amesema anataka Serikali tatu?

Hilo la kupoteza ground ni nyinyi mnaosema.

Nyerere alipolazimisha Serikali zenye Muungano usiokuwepo mbona hamsemi kuwa ni yeye aliyeiuwa Tanganyika? mmesahau alivyowanyamazisha G55? mmesahau alivyomfanya Jumbe? mmesahau alivyomfanya Kassim Hanga?

Wazanzibari wamejielewa, iwe mbiili mtafata masharti yao mkitaka msitake, au mpiganie tatu mfate pia masharti yao mkitaka msitake, wao wana nchi yao inayotambulika rasmi kwenye huu "Muungano". Tatizo ni nyinyi ambao nchi yenu Nyerere aliiuwa. Kubalini tu>

Mbona mnapata kigugumizi ikija kwa muasisi wa huu Muungano feki? mnatafuta scapegoat?
 
Nawashangaa sana ikiwa wote mmeshindwa kumuelewa Professor Shivji.

Professor Shivji ni muumini wa Serikali mbili na hata nukuu yake hiyo mliyoiweka inadhihirish hivyo. Ambacho hamtaki kukisema ni Serikali mbili zipi anazoziongelea Shivji? Hamna pahala Shivji ameongelea kuwa serikali mbili ni Serikali ya Tanzania na Zanzibar, papo?

Nilivyomuelewa Shivji anaongelea Serikali mbili zenye maridhiano, bila ya hivyo muungano upo hatarini. Sioni pahala ameongelea ziundwe serikali tatu.

Serikali mbili zenye maridhiano kwa maana Serikali ya Tanganyika na Zanzibar na maridhiano - Mkataba. Kama ilivyo kwenye maridhiano ya awali ya Nyerere na Karume. Yaleteni muone halafu mtamuelewa Shivji.

Shivji anachelea kusema tu kuwa huu muungano aliyeuharibu ni Nyerere kuiuwa Tanganyika bila uhalali wowote.

Bomu hapa nilionalo si Shivji ni Nyerere.

Sasa mbona hueleweki? Na hiyo serikali ya mkataba si ndio wamependekeza wapinzani (CUF) halafu maCCM hamtaki kuelewa? Hizi posho za Lumumba zimewavuruga akili!
 
Nawashangaa sana ikiwa wote mmeshindwa kumuelewa Professor Shivji.

Professor Shivji ni muumini wa Serikali mbili na hata nukuu yake hiyo mliyoiweka inadhihirish hivyo. Ambacho hamtaki kukisema ni Serikali mbili zipi anazoziongelea Shivji? Hamna pahala Shivji ameongelea kuwa serikali mbili ni Serikali ya Tanzania na Zanzibar, papo?

Nilivyomuelewa Shivji anaongelea Serikali mbili zenye maridhiano, bila ya hivyo muungano upo hatarini. Sioni pahala ameongelea ziundwe serikali tatu.

Serikali mbili zenye maridhiano kwa maana Serikali ya Tanganyika na Zanzibar na maridhiano - Mkataba. Kama ilivyo kwenye maridhiano ya awali ya Nyerere na Karume. Yaleteni muone halafu mtamuelewa Shivji.

Shivji anachelea kusema tu kuwa huu muungano aliyeuharibu ni Nyerere kuiuwa Tanganyika bila uhalali wowote.

Bomu hapa nilionalo si Shivji ni Nyerere.

Sasa mbona hueleweki? Na hiyo serikali ya mkataba si ndio wamependekeza wapinzani (CUF) halafu maCCM hamtaki kuelewa? Hizi posho za Lumumba zimewavuruga akili!
 
Of course Zanzibar imeporwa madaraka yake nani asiyelijuwa hilo?

Kama Serikali mbili, na huku bara imeridhia iwe ya Tanzania lakini Zanzibar ina utaifa wake na kuna maridhiano yanayokubalika pande zote ni muono wake huo, kuna mahala amesema anataka Serikali tatu?

Hilo la kupoteza ground ni nyinyi mnaosema.

Nyerere alipolazimisha Serikali zenye Muungano usiokuwepo mbona hamsemi kuwa ni yeye aliyeiuwa Tanganyika? mmesahau alivyowanyamazisha G55? mmesahau alivyomfanya Jumbe? mmesahau alivyomfanya Kassim Hanga?

Wazanzibari wamejielewa, iwe mbiili mtafata masharti yao mkitaka msitake, au mpiganie tatu mfate pia masharti yao mkitaka msitake, wao wana nchi yao inayotambulika rasmi kwenye huu "Muungano". Tatizo ni nyinyi ambao nchi yenu Nyerere aliiuwa. Kubalini tu>

Mbona mnapata kigugumizi ikija kwa muasisi wa huu Muungano feki? mnatafuta scapegoat?
Mara ngapi tumeonyesha jinsi Tanganyika ilivyochakachuliwa?

Tanganyika haifuati masharti ya znz. Mbona tumekubali kuwa wao ni nchi na kila kitu!
Tunataka Tanganyika halafu kuanzia hapo tuone wapi tunaweza kushirikiana, siyo kumsaidia mznz.

Wznz wapo Dodoma, akina Kificho ndio wapiga debe wa CCM, akina Jusa ndio wanaoandika kanuni.


Time will tell, Tanganyika irudi kila mtu abebe mzigo wake.
 
FF Prof Shivji amesema kurudi Utanganyika ni kuvunja muungano akimaanisha kuwa serikali mbili ni SMZ na JMT.


Pili, Prof Shivji yupo katika video za mabaraza ya kata znz akisema, znz imeporwa madaraka yake. Katiba ya JMT haikifuata taratibu na ni haramu. Ametumia katiba hiyo harama kuhalalisha katiba ya 2010 ya znz.
Unaweza kuona jinsi SHivji anavyoyumba yumba bila sababu.

Tatu, amesemakurudi kwa TANGANYIKA kutachochea chuki dhidi ya wznz. Prof wetu ameshindwa kuona jinsi ubaguzi na chuki dhidi ya Tanganyika unavyotekelezwa na dola ya znz na wananchi wake.

Nne, Prof Shivji ametoa mifano ya muungano akificha yenye ukweli ili kuitetea znz. In general prof amepoteza ground na mwelekeo. Nina mheshimu sana, kwa hili la muungano kwangu amekuwa useless na sijui kwanini amekubali kununuliwa na kujivunjia heshima yake.

Siku zote huyu prof amekuwa akisisitiza ipatikane katina ya wananchi. Sijui magamba wamempa shilngi ngapi akawapigie debe na kuisigina katiba ya wananchi (inayotaka serikali 3)!!!

Profesa Shivji na Mchakato wa dhana na nafasi ya katiba kwa watanzania - YouTube
 
Sasa mbona hueleweki? Na hiyo serikali ya mkataba si ndio wamependekeza wapinzani (CUF) halafu maCCM hamtaki kuelewa? Hizi posho za Lumumba zimewavuruga akili!

Sikiliza, hapa unajibizana hoja na FF siyo na CCM. Warioba pia ni CCM na ana maono yake, na wengine wana maono yao. Si kila mwana CCM basi anatakiwa asiwe na mawazo yake.

Sisi sio misukule. Kila mtu ana mawazo, fikra na muono wake.

Hao wote mnaowaongelea, Shivji, Warioba, Kikwete, Nyerere, wote ni CCM na kila mmoja na fikra na maono yake.

Na mimi nna yangu. Upo hapo ulipo?

Nnao washanga ni nyinyi, leo Nyerere fikra zake basi tena? si njema? mmeungana na FaizaFoxy?
 
Mara ngapi tumeonyesha jinsi Tanganyika ilivyochakachuliwa?

Tanganyika haifuati masharti ya znz. Mbona tumekubali kuwa wao ni nchi na kila kitu!
Tunataka Tanganyika halafu kuanzia hapo tuone wapi tunaweza kushirikiana, siyo kumsaidia mznz.

Wznz wapo Dodoma, akina Kificho ndio wapiga debe wa CCM, akina Jusa ndio wanaoandika kanuni.


Time will tell, Tanganyika irudi kila mtu abebe mzigo wake.

Mtaipataje Tanganyika bila kupinga hadharani fikra za Nyerere aliyeiuwa? Inatakiwa kwa dhati kabisa mseme wazi kuwa Nyerere alifanya makosa kuiuwa Tanganyika, hapo mtaeleweka, bila hivyo? itatumika fimbo ya Nyerere na fikra za Nyerere na nyinyi hamuwezi kuukubali ukweli kuwa alikosea. Sijui unafaham?

Leo mnatafuta pakutokea, kila ataekuja na lake mtalitafutia sababu, mara oohh Shivji hivi, mara Oooh Warioba vile, mara Oooh Kikwete vile.

Amkeni na mseme tu Nyerere alifanya makosa makubwa sana kuiuwa Tanganyika, mbona hapo mnapata kigugumizi?

Na bila kukataa fikra za Nyerere kuhusu huu Muungano mtatafuta sana scapegoat.

Sasa mnailaumu Zanzibar ndiyo inawanyima Tanganyika yenu? mimi naona Wazanzibari wanawasaidia sana kwenye hii cause yenu ya kuitafuta Tanganyika lakini nyinyi ndio msiojijuwa muanzie wapi. Upo hapo ulipo? Anzeni kwa kuzipinga fikra za Nyerere kuhusu huu muungano, hiyo ndio shortcut pekee ya kupazia malalamiko yenu. Ukipenda usipende hilo halikwepeki.
 
Aende kwao,hatumtaki ktk nchi yetu.

Tufike mahala hawa wanaojiita Watanzania kumbe siyo tuwaambie ukweli na tuwafukuze nchini petu.Mungu mbariki Mugabe!!!
 
Back
Top Bottom