Well analysed..!
Wengine huku mna-comment pasipo Kujua kuna Nini Nyuma ya Pazia. Ukiona msomi kaongea Ni JAMBO la kukaa kimya Na kuwaza au kutokuandika Chochote. Wasomi huongea Chini ya miamvuli miwili , Moja Ni nia Zao Za utashi unaotokana Na elimu zao Na pili Shinikizo la Watawala. Watawala wanatisha asikwambie Mtu!! Hakuna anaye penda Kifo, Ni rahisi ku-Sacrifice dignity yako Mbele ya jamii kuepusha mabalaa unayotishiwa Na watawala, Na frankly wasomi wengi sio majasiri Ni WAOGA sana.
Nikipima uzito wa Sentensi Za Mwanafalsafari huyu, utashi huu wa Kuongea sio WAKE. Lazima pana Shinikizo Nyuma Yake. NASEMA hivi kwa ushahidi wa Waziwazi Kwamba HAPANA Kati ya WANA-CCM au SERIKALI YA JMT Kiongozi yeyote ALIYE WAHI KUWA MUUMINI WA SERIKALI MBILI. Mwalimu Julius K. Nyerere HAKUWAHI Kuwa MUUMINI wa Serikali mbili. Msomi Na wasomi wote akiwemo Shimvi WANALIFAHAM HILI FIKA Kwamba Kwa wakati ule Ilimlazimu Mwalimu Na Cabinet zake kuridhia Muungano tata wa Serikali mbili lakini mchakato ukiwa kuelekea SERIKALI MOJA. Na Hii ndio Ndoto ambayo Mwalimu alipenda Itimie HATA kabla ya Umauti wake. Lakini Bado HATA Leo CCM wanaamini Ndoto Hii yaweza timia. So Mtu akisema Ni MUUMINI wa Serikali mbili ni Uongo Na WOGA tu Hakuna kitu Kama hicho. Ccm wote nadhani HATA wananchi Wote Ni Waumini wa SERIKALI MOJA.
Lakini TOKA Mwalimu atutoke tuwe wakweli tu michakato ya KUHARAMIANA kisiasa ikaanza kukua siku HATA siku within ourselves. Kuna UPANDE wa Muungano unaamini wakiwa wenyewe wanaweza Kufanya excellent kuliko Kuwa Na Muungano. Hali Hii ikapelekea UPANDE ule KUASI.. A COMPLETE open REBELLION. Hamwezi kujitengenezea Katiba Na Kujiita Nchi Na kusafirisha mamlaka Za Kidola huku Katiba mama IKIWEPO ISIYOWARUHUSU kutenda hivyo. Ni uvumilivu, utulivu Na Hekima Za Rais Wetu kuepusha Shari Na Umwagaji Damu ambao likely usinge Zuilika.
Wananchi kupitia TUME ya Mabadiliko ya Katiba tukasema, sisi Ni Ndugu kwanini Tugombane, embu Nyie kamateni fito hizi mjenge UPANDE wa kwenu Na sisi tujenge UPANDE huu wetu kisha wote tuweke PAA. Uamuzi huu una DHAMBI gani?!!???. Uamuzi wetu Wananchi hatutaki machafuko, hatutaki kugombana Na ndugu zetu, hatutaki kupoteza uhai wa Mtu yeyote. From point pai ya UASI Ninyi viongozi mlikuwa Na Uwezo wa kudhibiti lakini mliacha tuu kiasi Leo huwezi kuidhibiti. Kuendeleza Msemo wa Serikali moja au mbili Ni UCHOCHEZI wenye Lengo la kuvuruga Na Kiondoa AMANI ya Nchi Hii.
Hakuna ANAYE VUNJA MUUNGANO HAPA. Tunaimarisha MUUNGANO WETU.