Shivji: Mimi ni muumini serikali mbili

Shivji: Mimi ni muumini serikali mbili

Wadau kuna wakati vyombo mbalimbali vya habari viliripoti juu ya mhadhara wa profesa issa shivji na wanafunzi wa vyuo vikuu (udsm) ambapo pamoja na mambo mengine mapendekezo ya serikali tatu yaliyopendekezwa na tume ya jaji waryoba yalipingwa vikali.

Mimi nikiwa ni mmoja wa wanafunzi wa udsm, napenda kuweka wazi kuwa siku hiyo walioruhusiwa kuingia ni vijana wa ccm tu. Na kwamba hata pale wasio wanaccm walipobahatika kupata taarifa juu ya mhadhara huo hawakuruhusiwa kuingia ndani coz waliombwa kuonyesha kadi zao za ccm na kwa vile hawakuwa na hizo kadi walizuiliwa kuingia.

Ninamshangaa mtu kama Profesa Shivji kutumika vibaya kiasi hiki.

Naomba watanzania waendelee kuiamini udsm kwa kuzingatia kuwa wanaccm (kenge) hawakosi katika msafara wa mamba (wasomi makini) hapa udsm.

Nawasilisha.
Professor Shivji! the spineless, erratic, unreliable hypocrite!! Bahati mbaya kwake ana ushahidi wa kujichanganya katika maandishi!! Kumbe msaka tonge wa CCMAJAMBAZI!!
 
Inatia huruma sana na kuona kuwa mabadiriko hamna tena, muhindi muhindi tu
 
Kwa kweli nilimwamini huyu mzee Tena sana ila sasa ctomwamini tena
 
Wadau kuna wakati vyombo mbalimbali vya habari viliripoti juu ya mhadhara wa profesa issa shivji na wanafunzi wa vyuo vikuu (udsm) ambapo pamoja na mambo mengine mapendekezo ya serikali tatu yaliyopendekezwa na tume ya jaji waryoba yalipingwa vikali.

Mimi nikiwa ni mmoja wa wanafunzi wa udsm, napenda kuweka wazi kuwa siku hiyo walioruhusiwa kuingia ni vijana wa ccm tu. Na kwamba hata pale wasio wanaccm walipobahatika kupata taarifa juu ya mhadhara huo hawakuruhusiwa kuingia ndani coz waliombwa kuonyesha kadi zao za ccm na kwa vile hawakuwa na hizo kadi walizuiliwa kuingia.

Ninamshangaa mtu kama Profesa Shivji kutumika vibaya kiasi hiki.

Naomba watanzania waendelee kuiamini udsm kwa kuzingatia kuwa wanaccm (kenge) hawakosi katika msafara wa mamba (wasomi makini) hapa udsm.

Nawasilisha.

- Yaaani kaka umeongea vizuri sana yaani kama Warioba alivyowakilisha maoni ya Bakwata tofauti na maoni yao ya kweli kama alivyosema mjumbe wa Bakwata bungeni, kumbe na Shivji alifanya hivyo hivyo kama Warioba? duh kweli hii Katiba ni kazi sana!!

Le Mutuz System
 
njaa mbaya sana.
Essau aliuza haki yake ya uzaliwa wa kwanza kwa Yakobo kwa ugali wa dengu
 
- Yaaani kaka umeongea vizuri sana yaani kama Warioba alivyowakilisha maoni ya Bakwata tofauti na maoni yao ya kweli kama alivyosema mjumbe wa Bakwata bungeni, kumbe na Shivji alifanya hivyo hivyo kama Warioba? duh kweli hii Katiba ni kazi sana!!

Le Mutuz System

Warioba kumbe alikuwa anawakilisha maoni ya BAKWATA? Nilidhani baada ya kupata maoni mbalimbali kwa mfano makundi yote ya dini, ndio tume ikatoa yale ambayo waliona yanafaa. Hivi wangewakilisha ya akina Lusekelo peke yao, pale pangetosha? Kweli muda ni mwalimu mzuri sana.
 
- Yaaani kaka umeongea vizuri sana yaani kama Warioba alivyowakilisha maoni ya Bakwata tofauti na maoni yao ya kweli kama alivyosema mjumbe wa Bakwata bungeni, kumbe na Shivji alifanya hivyo hivyo kama Warioba? duh kweli hii Katiba ni kazi sana!!

Le Mutuz System

Le Mutuz mbona unafanya mambo ya aibu namna hii.unalinganisha kazi ya Mzee Warioba na mambo yakihuni yanayo fanywa na watumwa wa mfumo.jitathimini la sivyo utaendelea kupotea.Wengi wa wasomi wetu ni wasaliti wa jamii wanaosimamia matumbo yao.Unaweza kuwa umekulia kwenye fence hivyo huuheshimu umma.tafadhari anzaleo kuheshimu uma.
 
Two wrongs do not make a right(kama ulichosema ni kweli) ..we msomi wa wapi Le Mutuz System....unamuaibisha hata baba yako....halafu unajiita msomi ..ulikuwa unagombea uongozi gani vile.....???
 
Pro Shivji pamoja na usomi wake anashindwa kuwa na msimamo, amekuwa mlevi wa uongo na kuukana ukweli hata anaouamini yeye kisa kapewa chochote. Ni dhambi kubwa sana kukumbatia uovu ungali ukweli upo wazi!!! He is now incredible!!!!
 
Kuna kongamano lilifanyika udsm likiandaliwa na Udasa, baada ya wachokoza maada miongoni mwa wazungumzaji wakuu walikuwa Mnyika na Mzee Mengi. Chakushangaza waziri Muhongo alipewa nafasi ya mwisho kabisa, sii kwamba alipewa nafasi km mchangiaji mwingine bali kujibu hoja za Mzee Mengi kuhusu uwekekezaji mkubwa kwa wajasiriamali mada ambayo iliwagonganisha sana waziri na Mengi nyakati hizo. Pia alijibu hoja zingine pinzani kwa serikali akia amejandaa kwa data, audio na video na kwa ushabiki kweli kweli

kwa maandalizi hayo kwa nini hakuwa miomgoni mwa wazungumzaji wa awali ili naye ajadiliwe na kuhojiwa na kongamano bali aliwekwa mwisho azime hoja bishani kwa serikali.

Kama Udasa ambao kiasi wanaaminika kwa kutokuwa na upande ('neutral org.')bali kusimamia hoja waliweza kushiriki katika upumbavu huu wa kuishabikia serikali na chama chake, Udasa ni taasisi ilifanya hvy: Shivji ni nani? Ni kitu kdg sana.

Uongo! Uongo! Uongo umekuwa utamaduni wa Tanzania!
 
Kuna Vitoto vya BAVICHA havijawahi hata kuandika Handout ya page mbili, leo vinathubutu kuchallenge Elimu ya Shivji Raia wa Kwanza na Pekee Mwenye PHD Tatu za Kusoma ( Sio za kupewa),

Mwandishi wa Vitabu 'Text Book' zaid ya 24 vinavotumika kwenye Library ya Vyuo mbalimbali ndani na nje ya Nchi tena Vingine vimetumika kusomesha hao wanaomtukana leo. Ni huyu Professa aliekataa kwenda kuonana na President George W Bush alipoalika Wajuvi na Wajuzi bingwa wa Sheria Ulimwenguni wapatao 52 Mwaka 2004.

Kigezo Pekee mnachotumia kumdhalilisha ni kwenda kinyume na Maoni ya Serikali 3 kwa kigezo eti ni Msimamo wa Wengi. Kwa Taarifa yenu Msomi yoyote Duniani ukimkuta anaogopa kusema anachokiamini kwa kigezo eti sio msimamo wa wengi jua huyo ni kundi moja na yule Dkt alieandika kitabu kimoja tu cha Maisha ya Dkt Slaa tangu hapo hajawahi kuandika kitabu au kuhariri kitabu chochote cha kitaaluma katika maisha yake yote ya Kielimu.
 
Mhadhiri mwandamizi mmoja aliwahi kunambia Enzi za UDASA ya akina Prof. Baregu, Prof. Ndulu, Prof. Chachage (RIP), Prof. Lwaitama na Hata Prof. Muhongo nyeusi ilikuwa nyeusi na nyeupe ilikuwa nyeupe. Lahaula, Kati ya hawa, wawili ambao Ni Ndulu na Muhongo wapo serikalini na wanageuza nyeusi kuwa nyeupe. Je, tutegemee UDASA active kama hizi zisifiwazo? Kwa mfano Ile ya Dr. Nyaoro na Kibogoya angalau tuliona uhai wa UDASA, Kwa hii ya mwenyekiti mtafuta madaraka na anaeendeshwa na matakwa ya UVCCM Lumumba Dr. Francis Michael aka KASABUVU tutegemee nini?

Prof. Shivji watusikitisha ALUMNAE wa UDSM Na wafuasi wa falsafa na machapisho yako.
 
Back
Top Bottom