Kuna Vitoto vya BAVICHA havijawahi hata kuandika Handout ya page mbili, leo vinathubutu kuchallenge Elimu ya Shivji Raia wa Kwanza na Pekee Mwenye PHD Tatu za Kusoma ( Sio za kupewa),
Mwandishi wa Vitabu 'Text Book' zaid ya 24 vinavotumika kwenye Library ya Vyuo mbalimbali ndani na nje ya Nchi tena Vingine vimetumika kusomesha hao wanaomtukana leo. Ni huyu Professa aliekataa kwenda kuonana na President George W Bush alipoalika Wajuvi na Wajuzi bingwa wa Sheria Ulimwenguni wapatao 52 Mwaka 2004.
Kigezo Pekee mnachotumia kumdhalilisha ni kwenda kinyume na Maoni ya Serikali 3 kwa kigezo eti ni Msimamo wa Wengi. Kwa Taarifa yenu Msomi yoyote Duniani ukimkuta anaogopa kusema anachokiamini kwa kigezo eti sio msimamo wa wengi jua huyo ni kundi moja na yule Dkt alieandika kitabu kimoja tu cha Maisha ya Dkt Slaa tangu hapo hajawahi kuandika kitabu au kuhariri kitabu chochote cha kitaaluma katika maisha yake yote ya Kielimu.
yeye sio mjuvi na bingwa nd'o mana hakualikwa& hakwenda