Kwanini kuwe na serikali mbili au tatu au moja?
Si kila mtu awe na nchi yake na Serikali yake apendavyo mwenyewe.
Huu Muungano una siri gani kubwa hata uwepo?
Khaa!! Hii ndiyo tatizo kubwa la democracy. Pale mnapokuwa kundi kubwa la wajinga.Waje na hoja wakati yeye hakutoa hoja? Hoja ni kwamba wengi wanataka serikali tatu! Sasa yeye aje na hoja kuonyesha vingine!
"Kati ya mapungufu ya Mwalimu Nyerere, moja wapo ni lile la kulazimisha muundo wa Muungano wa Serikali Mbili".
prof shivji ameamua kugeuka umbwa--amekula matapishi yake mwenyewe! nimeamini kweli njaa mbaya sana.
Mimi nadhani ametishwa kwani haiwezekani Shvji afanye hivyo; tukumbuke kwamba ni Shivji ndiye aliyechochea vuguvugu la zanzibar kudai mamlaka kamili, na hata jaji warioba kajadili hilo majuzi. Pia katiba ya znz ya 2010 inayovunja sio tu katiba ya jamhuri bali pia muungano wenyewe, inasemekana katiba hiyo ina mkono wa shivji katika kuiandaa.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
FJM, tpaul, Mag3, JokaKuu, Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, MwanaDiwani, zomba, Ritz, ZeMarcopolo, Gamba la Nyoka, Mtanganyika Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, Pasco, Kitila Mkumbo, EMT, MTAZAMO, Dr.W slaa, Kobello Jasusi, zumbemkuu, Mimibaba, Zakumi, Invisible, mnyepe, Yericko Nyerere, FaizaFoxy, Dingswayo, Makusudically, Tumaini Makene, NicholasFrankly, the failure to acknowledge that the TWO GOVERNMENT structure is unworkable is, in my opinion, the biggest blind spot in Mwalimu's vision of unity. I need not belabour the point for it has been debated and has been shown in practice to be unworkable. In fact, to continue to insist on it is the surest way of breaking the union.
Issa Shivji: Let The People Speak: Tanzania Down The Road to Liberalism (2005), page 119, Paragraph 2:
FJM, tpaul, Mag3, JokaKuu, Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, MwanaDiwani, zomba, Ritz, ZeMarcopolo, Gamba la Nyoka, Mtanganyika Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, Pasco, Kitila Mkumbo, EMT, MTAZAMO, Dr.W slaa, Kobello Jasusi, zumbemkuu, Mimibaba, Zakumi, Invisible, mnyepe, Yericko Nyerere, FaizaFoxy
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Sio haramu. Aseme tu wazi kwamba kabadili msimamo kuliko kukataa na kuishia kuumbuliwa na wanafunzi wake.Mchambuzi. Kwani Shivji kubadilisha upande ni haramu?
Issa Shivji: Let The People Speak: Tanzania Down The Road to Liberalism (2005), page 119, Paragraph 2:
Issa Shivji: Let The People Speak: Tanzania Down The Road to Liberalism (2005), page 119, Paragraph 2:
FJM, tpaul, Mag3, JokaKuu, Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, MwanaDiwani, zomba, Ritz, ZeMarcopolo, Gamba la Nyoka, Mtanganyika Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, Pasco, Kitila Mkumbo, EMT, MTAZAMO, Dr.W slaa, Kobello Jasusi, zumbemkuu, Mimibaba, Zakumi, Invisible, mnyepe, Yericko Nyerere, FaizaFoxy, Dingswayo, Makusudically, Tumaini Makene, Nicholas
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Unikumbusha Prof. Antonio Cassese (RIP) wa Chuo Kikuu cha Oxford alivyokuwa ana-change views zake kuhusiana na legality of intervention nafikiri in Kosovo or Iraq.
Article ya kwanza akasema sijui the intervention was illegal, the second article akabadilisha na kua-argue it was legal, the third article akapiga u-turn na kurudi kwenye argument yake ya kwanza. These articles were published ndani ya miezi kama miwili hivi. It was very confusing to read his articles.
Sio haramu. Aseme tu wazi kwamba kabadili msimamo kuliko kukataa na kuishia kuumbuliwa na wanafunzi wake. Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Unikumbusha Prof. Antonio Cassese (RIP) wa Chuo Kikuu cha Oxford alivyokuwa ana-change views zake kuhusiana na legality of intervention nafikiri in Kosovo or Iraq.
Article ya kwanza akasema sijui the intervention was illegal, the second article akabadilisha na kua-argue it was legal, the third article akapiga u-turn na kurudi kwenye argument yake ya kwanza. These articles were published ndani ya miezi kama miwili hivi. It was very confusing to read his articles.
na aseme tu wazi kuwa kabadili msimamo wake kwa shinikizo, ataeleweka tu,Sio haramu. Aseme tu wazi kwamba kabadili msimamo kuliko kukataa na kuishia kuumbuliwa na wanafunzi wake.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mkuu Mchambuzi, hapa umemaliza kila kitu!. I'm just speechless!.Issa Shivji: Let The People Speak: Tanzania Down The Road to Liberalism (2005), page 119, Paragraph 2:
FJM, tpaul, Mag3, JokaKuu, Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, MwanaDiwani, zomba, Ritz, ZeMarcopolo, Gamba la Nyoka, Mtanganyika Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, Pasco, Kitila Mkumbo, EMT, MTAZAMO, Dr.W slaa, Kobello Jasusi, zumbemkuu, Mimibaba, Zakumi, Invisible, mnyepe, Yericko Nyerere, FaizaFoxy, Dingswayo, Makusudically, Tumaini Makene, Nicholas
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums