G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Tunapokea habari kuwa mgombea mwenza wa CHADEMA ndugu Salum Mwalim amepata ajali ya gari nadhani maeneo ya Msalala
====
Tumepata ajali mbaya sana eneo la Msoka Kata ya Ngogwa, Jimbo la Msalala tukitoka kwenye mkutano wa Kampeni jimbo la Msalala tukienda kwenye mkutano wa Kahama.
Kwenye gari alikuwepo Mgombea Umakamu wa Rais (CHADEMA), Mheshimiwa Salum Mwalimu, Katibu wa Makamu wa Rais, Gerva Lyenda, Mlinzi, Omary na Dereva, Haule.
Gari ilipinduka kuzunguka mara tano.
Mpaka sasa wote tupo salama, labda kama kutakuwa na maumivu ya ndani.
====
Tumepata ajali mbaya sana eneo la Msoka Kata ya Ngogwa, Jimbo la Msalala tukitoka kwenye mkutano wa Kampeni jimbo la Msalala tukienda kwenye mkutano wa Kahama.
Kwenye gari alikuwepo Mgombea Umakamu wa Rais (CHADEMA), Mheshimiwa Salum Mwalimu, Katibu wa Makamu wa Rais, Gerva Lyenda, Mlinzi, Omary na Dereva, Haule.
Gari ilipinduka kuzunguka mara tano.
Mpaka sasa wote tupo salama, labda kama kutakuwa na maumivu ya ndani.