Mkuu si kila mwanamke ni wa kuishi nae kwa akili, kuna muda ukiyafuata sana maandiko ya kwenye vitabu vya dini unapoteza muelekeo wa maisha.Huwa nachukia sana nikiona mwanaume mwenzangu anapiga mwanamke. Hivi tunashindwa kuishi nao kwa akili?
Huyo demu pia nae tabia zake hakuziacha.Kuna makosa mengi sana tunayafanya wapenzi pale mapenzi yanapoanza,yanakuwa hot sana kiasi cha kwamba unakuta mwenzako ana mapungufu flani lakini unajipa moyo kuwa iko siku atakuja kuacha,ni wachahe sana walikuja kuacha tabia zao baada ya kuoana,ila wengi walibaki nazo na hata kuwa wabaya zaidi,ndio maana kuna usemi unasema kosea yote lakini usikosee kuoa au kuolewa,kwahiyo mtoa mada sio kama tabia ya huyo mwanaume alianza ghafla from no where,ukichunguza huyo mtu alikuwa na hizo tabia kabla hata hawajafunga ndoa,sema ndio hivyo penzi ni upofu......
Looh yaani huyu mwenye "black eye" ndiye mamaa pindua meza?!! ataa siamini daah dunia hii
Sure pal!Aisee! Hivi mwanaume uliyekamilika unapataje nguvu za kumpiga mtoto wa kike namna hii???
Vioo vilivyovunjika vunjikaEti na yeye pia ni kioo cha jamii.hivi vioo vyengine ni shida tupu.
Unapambanaje na mtu ambaye una uhakika hawezi kukurudishia ngumi hata moja? Huo ni udhaifu mdogo wangu. Mwanamke akikuudhi mrudishe kwao akajirekebishe au mrudishe moja kwa moja.Hivi kwetu sisi wanaume tunapata wapi ujasiri wa kuoa mwanamke ambaye kachora tatoo kwenye kifua na maziwa! Wanawake wana namna hii hawafai kuolewa kabisa.
Tena uchebe naona kamgusa tu, kwangu angechezea vitasa zaidi muda huu angekuwa katundukiwa drip.
Tecno yako imegoma kuzifunguaUmeshindwa kuweka hata picha kweli?
hahahah Naona huyo demu amepata size yake,yeye si alikuaga anakapa kichapo heavy ka nuhu mziwanda mpk kanakimbilia barabarani,Ustaadhi Uchedi style yake ya kushtua kwa ngumi usingizini sijui alifundishiwa dojo gani.“Dawa ya mwanamke mkorofi ni kumshtua usingizini na ngumi za kutosha”