andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 18,709
- 119,603
Namfahamu tangu akiwa mdogo, ni rafiki na wameishi nyumba moja na shemeji yangu.Huo ni upotofu, acha kuhukumu ya mazoea.
Namfahamu tangu akiwa mdogo, ni rafiki na wameishi nyumba moja na shemeji yangu.Huo ni upotofu, acha kuhukumu ya mazoea.
Mbona wanaocheza wengi na wanawake hawapigwi?!!Uchebe mcheza karate yule
Hamna.Sometimes unakuwaga na majungu we mzee ahahaha
Naelewa mkuu, lakini point yangu specific kwa case hii, dharau anazoletewa bwana uchebe hakutakiwa kufika huku kote, either ukubali kuzaraulika au ubebe vyako uondoke, umarioo sio kitu kizuri mzee.Hayajakukuta mzee usiseme hvyo hujui alichokifanya huyo na huenda ukikifahamu unaweza kusema kwann asingemvunja ata mkono. Hawa wanawake hawa nadhan waliooa au wanaoishi na wanawake kwa mda mrefu watakuwa wananielewa
Kume kucha kume kuchaHaya sasa!!
Hata ukiwa nazo pia ni shida .... Mwanamke au mwanaume akiwa star kumdate unajitakia matatizo tu
Kahaba linapigwa mzee baba vp!?Aisee! Hivi mwanaume uliyekamilika unapataje nguvu za kumpiga mtoto wa kike namna hii???
Na wanawake bila kushtuliwa na ngumi usingizini hua hamuelewi kabisa
Hahaha shida mbaya sanaKanuhu nako kalikuwa kanasalandia life tu ila kangekuwa kanajiweza kangemtia vitasa heavy.
Aisee mkuu we acha tu.hawa celebrities wetu kwenye mitandao wanauza sura na vinginevyo.Hahah kwa hio Nanga ilikua inatoka na tope?
Nimekuelewa mzee👊🏻👊🏻, hapa aliebugi ni bwana Uchebe, alijua itakuwa rahisi kumtuliza shishi, wakati mgahawa unaendeshwa na masponsor ule.Hamna kitu kigumu kama kum-date mwanamke ambaye ni star ..aisee ni ngumu sana ...
Huwa wanaafunwa mnooo na masponcer so naona uchebe kashindwa kuvumilia ijapokuwa nin a declare kumpiga sio njia sahihi
Tena amekutwa amelala akaamshwa kwa ngumi ya kwenye jicho 🤣Mtu akibisha nikupigwa tu acha wapigwe