Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Hivi wewe foxy unaishi nchi gani? Maana maneno na kauli zako ni dhihaka kubwa kwa watanzania wanaoteseka na utawala huu wa kidhalimu wa kikwete. Nashangaa wakati wote unaandika comment za kishabiki tu, bila kujali uhalisia wa mambo. Unalala na kikwete nini wewe?Mwandishi kisha piga kikombe cha "babuu"?
Faiza Foxy nakuendea Sumbawanga, lazima nikuoe.Mwandishi kisha piga kikombe cha "babuu"?
faiza fox hata katika thread hiii? mmmhhhhhhhhh!
Ahahahaaah!!!Mwandishi kisha piga kikombe cha "babuu"?
kangekuwepo katofe ka thanks ningekupa kwa hili.."Wafanya biashara warudi vijijini. Wanawake saluni waingia uchangudoa".View attachment 33338
nilifikiri utaisha kumbe unapungua so sad mkuu..Mgao utapungua agost:NGELEJA