karibu face pub mkuu......................nyuma ya st marryz pembeni ya georgina bar.
wakuu wanywaji Nini tofauti ya PUB,BAR,NIGHT CLUB na CASINO?maana naona kila mahali pub
Mkuu Tusker Bariiiidi, umeandika ki ushabiki sana, nilikuwepo juzi juzi hapo kwenye promotion ya TBL, Shortly imefungwa lini?
hahahahahaha nipo bhana, nimekuja kushanga magorofa zen faster Mwanza Moja, Shikaamoo Pesa nilikuwa napapenda, kwa ajili ya Pay n peak hahahah...Ningeshangaaa, sangara upo town??
Nitatinga hapo leo. Chedhea Mama Shughuli weye!
dah......hahah nimechekaje mchana huu...apana chezea kigogo
Naomba nikutajie mkuu, ukishuka kwa Remi kutokea Mwenge, ni upande huo huo. Barabara yake kuna machinga wanauza viatu chini, unaenda nayo kama mita 150 utaona uwazi kuna miti miti ya miembe kushoto, Half London ndo iko hapo kushoto na kuna uwazi.
Hahaa kwa nini mkuu wangu
km vp in PM jioni ntakua sinza kupiga vya jtatu mdogo mdogo!!
Tukutane shikamoo pesa kiongozi
ooooh yeha pub kuna yule mtoto wa kirangi mpya,mtamu sana.
JF raha sana dah!!!
Tabata bana kuko poa sana dat ni new town....da ukitoka job unapita hai bar kwa wazawa paleee mpaka savoy bar jamani tabata tabata noma si umeshafika dar west inn huyooo mpaka kwa masikio maeneoya tabata shule pale nyumama ya ile hotel...duuu vipi upo wapi bob utasikia tunakungoja walet pub mtambuzi na king'ast wapo paris ok twende zetu italian pub nataka nimbebe papaa msafiri tukamuache hapo texas pub turudi zetu copa cabana na viena usiku tukacheki mpira kwa gerad pale liwiti vp kwa mfojo dar home kwa mamushka kinyerezi napiga horn masai ameshalala hahaha analinda au analala.