Jamani New Shikamoo pesa ndo iko ktk hatua za mwisho za kufunguliwa...hao wazee wa fitina wa mabatini na Diwani wao hawatuwezi...Tajir Freddy anapambana kwa ajili ya wateja( Ema mavogue,suzy ------, tajir Maganga etc)na wafanyakazi wake (mama shughuli,wali nazi,matongee).