Shikamoo Pesa Pub-Sinza YAFUNGWA!

Jamani New Shikamoo pesa ndo iko ktk hatua za mwisho za kufunguliwa...hao wazee wa fitina wa mabatini na Diwani wao hawatuwezi...Tajir Freddy anapambana kwa ajili ya wateja( Ema mavogue,suzy ------, tajir Maganga etc)na wafanyakazi wake (mama shughuli,wali nazi,matongee).
 
Tabata bana kuko poa sana dat ni new town....da ukitoka job unapita hai bar kwa wazawa paleee mpaka savoy bar jamani tabata tabata noma si umeshafika dar west inn huyooo mpaka kwa masikio maeneoya tabata shule pale nyumama ya ile hotel...duuu vipi upo wapi bob utasikia tunakungoja walet pub mtambuzi na king'ast wapo paris ok twende zetu italian pub nataka nimbebe papaa msafiri tukamuache hapo texas pub turudi zetu copa cabana na viena usiku tukacheki mpira kwa gerad pale liwiti vp kwa mfojo dar home kwa mamushka kinyerezi napiga horn masai ameshalala hahaha analinda au analala.
 
Tabata bana kuko poa sana dat ni new town....da ukitoka job unapita hai bar kwa wazawa paleee mpaka savoy bar jamani tabata tabata noma si umeshafika dar west inn huyooo mpaka kwa masikio maeneoya tabata shule pale nyumama ya ile hotel...duuu vipi upo wapi bob utasikia tunakungoja walet pub mtambuzi na king'ast wapo paris ok twende zetu italian pub nataka nimbebe papaa msafiri tukamuache hapo texas pub turudi zetu copa cabana na viena usiku tukacheki mpira kwa gerad pale liwiti vp kwa mfojo dar home kwa mamushka kinyerezi napiga horn masai ameshalala hahaha analinda au analala.

Ha ha ha ha!!!
 
Baa maarufu ya aina yake ambayo inazo sifa Lukuki za matukio yanafanywa na wateja wake IMEFUNGWA, matukio hayo kama ya Umalaya,Ushoga na mengine lukuki yakiwemo ya watu kutoa Bastola na kupiga risasi hewani endapo mtu amefurahi ama kukasirishwa na mteja mwenzake,ama amedharauliwa kwa namna yoyote ile.
Baa hiyo ambao hukesha na kufanya majirani ambao wamekuwa wakijaribu kuifunga/kuipiga vita kugonga mwamba kila wakati.
SABABU ZA KUFUNGWA!
siku ya Jumamosi kuamkia Pasaka kijana Rajabu (Chapombe) aishie jirani na hapo PUA NA MDOMO aligombana na kijana mwingine akaae jirani na hapo ugomvi huo ulitokea usiku wa manane ulimsababisha kijana (Rajab) kujeruhiwa vibaya maeneo ya mbavu na kupelekea kupelekwa Hospital ambapo alifariki dunia Jumatatu ya Pasaka,Dada wa Marehemu ambaye ana wadhifa Serikalini (Jina linahifadhiwa) alighadhabishwa sana na tukio hilo na kuamuru Mkurugenzi wake Felix (Fix),Meneja wawekwe Mabatini Kiitonyama Police na kupelekea Baa hiyo kufungwa.
HALI ILIVYO SASA.
Nyumba yenye Msiba imeweka Maturbai mpaka kwenye Baa hiyo na kupelekea hisia yanaweza kuwekwa hivyo wiki mbili ili kuhakikisha kila mteja anaye kwenda hapo KUTAHARUKI.
Pole wafiwa,Pole wamiliki kwani lilikuwa chimbo la Walevi wengi.
Wakiifunga tutasogea mbele Kuna kiwanja kinaitwa Half London kuna nyapu za kitutsi tupo michongoma wa ukweli unakata pochi unatambaa nayo goma la kinyarwanda chezea Sinza!
 
Tabata bana kuko poa sana dat ni new town....da ukitoka job unapita hai bar kwa wazawa paleee mpaka savoy bar jamani tabata tabata noma si umeshafika dar west inn huyooo mpaka kwa masikio maeneoya tabata shule pale nyumama ya ile hotel...duuu vipi upo wapi bob utasikia tunakungoja walet pub mtambuzi na king'ast wapo paris ok twende zetu italian pub nataka nimbebe papaa msafiri tukamuache hapo texas pub turudi zetu copa cabana na viena usiku tukacheki mpira kwa gerad pale liwiti vp kwa mfojo dar home kwa mamushka kinyerezi napiga horn masai ameshalala hahaha analinda au analala.

Unapita na kwetu pazuri pale sanene upge moja halafu kwa mfojo uh tabataaaaa

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Wakiifunga tutasogea mbele Kuna kiwanja kinaitwa Half London kuna nyapu za kitutsi tupo michongoma wa ukweli unakata pochi unatambaa nayo goma la kinyarwanda chezea Sinza!

Ha ha ha! Nilitaka nishangae hii isitajwe kwenye huu mjadala, hebu nikumbushe ile mishkaki ya utumbo inaitwaje pale?
 
Imefunguliwa rasmi leo...yaani nina kiu vibaya sana kwenda kuwaona asali wangu wali nazi plus suzy....jioni ifike haraka bana
 
Ipo sehemu gani sinza aisee?

ipo Remi nyuma ya halflondon,haina lolote basi tu mjini watu wakiamua kukipamba kitu....kuna muhaya mmoja anakaa hapo jirani karudi na hela zake kutoka uingereza kaimalizia hapo hadi kagari kake mkweche kauza ili haweke heshima,,,so be careful.
 
Wakiifunga tutasogea mbele Kuna kiwanja kinaitwa Half London kuna nyapu za kitutsi tupo michongoma wa ukweli unakata pochi unatambaa nayo goma la kinyarwanda chezea Sinza!

Half london iko api...mi michongoma ndo mambo yangu yaani mtanikuta nyavuni kila dakika...tafadhali naomba ushirikiano wako wa dhati iko wapi ....nitajie na mungu atakulipa kwa hilo
 
Jamani New Shikamoo pesa ndo iko ktk hatua za mwisho za kufunguliwa...hao wazee wa fitina wa mabatini na Diwani wao hawatuwezi...Tajir Freddy anapambana kwa ajili ya wateja( Ema mavogue,suzy ------, tajir Maganga etc)na wafanyakazi wake (mama shughuli,wali nazi,matongee).

Aaaah wakuache wali nazi wangu miaka mia sita na tano......hahaaa maganganmzee wa zengwe mzee wa v .....leo imefunguliwa kwa hiyo leo tuko pale
 
Half london iko api...mi michongoma ndo mambo yangu yaani mtanikuta nyavuni kila dakika...tafadhali naomba ushirikiano wako wa dhati iko wapi ....nitajie na mungu atakulipa kwa hilo

Naomba nikutajie mkuu, ukishuka kwa Remi kutokea Mwenge, ni upande huo huo. Barabara yake kuna machinga wanauza viatu chini, unaenda nayo kama mita 150 utaona uwazi kuna miti miti ya miembe kushoto, Half London ndo iko hapo kushoto na kuna uwazi.
 
Half london iko api...mi michongoma ndo mambo yangu yaani mtanikuta nyavuni kila dakika...tafadhali naomba ushirikiano wako wa dhati iko wapi ....nitajie na mungu atakulipa kwa hilo

palepale nyuma ya shikamoo pesa...kuna mishikaki ya utumbo.
 
Unapita na kwetu pazuri pale sanene upge moja halafu kwa mfojo uh tabataaaaa

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

tabata kwa wala bata...Alhamis watu wanakesha pale Mpumalanga pub,alafu mbele kuna promise pub pale kwa yule mtoto wa kihehe Edita maHips....siku izi ukitaka kumpeleka mtoto dinner hauitaji kwenda masafa kuna Greenlight kama unapenda mauzo.
 
Tabata bana kuko poa sana dat ni new town....da ukitoka job unapita hai bar kwa wazawa paleee mpaka savoy bar jamani tabata tabata noma si umeshafika dar west inn huyooo mpaka kwa masikio maeneoya tabata shule pale nyumama ya ile hotel...duuu vipi upo wapi bob utasikia tunakungoja walet pub mtambuzi na king'ast wapo paris ok twende zetu italian pub nataka nimbebe papaa msafiri tukamuache hapo texas pub turudi zetu copa cabana na viena usiku tukacheki mpira kwa gerad pale liwiti vp kwa mfojo dar home kwa mamushka kinyerezi napiga horn masai ameshalala hahaha analinda au analala.

karibu face pub mkuu......................nyuma ya st marryz pembeni ya georgina bar.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom