All is not lost,
CHADEMA wanaweza kuamua kujifunza katika hili, au kujifanya shingo ngumu na kuendeleza tamaa za viti vya bunge bila tafakari yenye kina. Tunaangalia wateule wao wa ubunge 2015, kama chama kitakuwapo ( katika hi form) 2015.
Wangetusikiliza tuliokuwa tunawaambia huyu bwana ni timebomb tangu mwanzo wala wasingekuwa na matatizo haya sasa.
Ni kwa sababu Membe ana maneno matamu kuliko matendo! Amedai pia kwamba maneno ya uwongo hata kama ni matamu sana hayawezi yakawa ya ukweli! Alisema vilevile kwamba Membe ameshindwa kutumia Jumuiya ya Kimataifa kuwashtaki kwenye Mahakama ya kimataifa ili kuwashtaki waliotuingiza kwenye mikataba mibovu!
hii sasa ndo last resort yaani imefunga kazi..Amesema pia Ukimpeleka mwanamke chongo kwa Membe kwa jinsi alivyo na maneno matamu na ya uongo atakwambia huyo mwali sio chongo! Souce: Shibuda.
Cdm wajifunze kuokoteza shibuda nimakombo ya ccm ninavyo faham chakula kichafu ukila jibu ni maumivu ya tumbo au kuhalisha Tafuteni dawaKama kawaida yake akichangia hoja ya Wizara ya Mambo ya Nje, Mbunge wa Maswa John Magale Shibuda kaedndelea kutumia nahau zake zinazoelekea kuchuja huku akivurumisha makombora ya Wazi kwa Viongozi wa CDM akidai kuwa kiongozi Giza huogopa Mwanga na kuwa hakubali kukosolewa wala kukubali mawazo ya watu na daima huanzisha kesi kuwapakazia wenzie.Ameongeza kuwa ukomavu wa Ndoa ni misukosuko na kuwa Ndoa yake na Wananchi wa Maswa inazidi kuimarika kwa sasa kwa kuwa yeye Gogo la UDI akichomwa ananukia ili kuwavutia zaidi kwa harufu yake nzuri.My take: HUU ni uchokozi na kuwayumbisha viongozi wa CDM ambao kwa sasa wanatafuta ufumbuzi wa kitendo chake cha utovu wa Nidhamu. Ni vema kauli hizi za leo zikachukuliwa kwa tahadhari huku akipuuzwa kwa jaribio hili ili kutopoteza focus ya mambo mengine ya Msingi katika Chama
Haaaa haaaa! Hebu fafanua hiyo ndoa kati ya Chikawe, Shibuda na Membe! Who is who katika kinyang'anyiro cha Urais, 2015!... ukisikiliza haya ya Shibuda dhidi ya Membe basi ujue ati Chikawe hayupo mbali na venue. Source: Kinyanganyiro cha 2015
Kwa leo napita tu, Kaka nikaona nikupe Hi....Amesema pia Ukimpeleka mwanamke chongo kwa Membe kwa jinsi alivyo na maneno matamu na ya uongo atakwambia huyo mwali sio chongo! Souce: Shibuda.
kwa heri!Kwa leo napita tu, Kaka nikaona nikupe Hi....
Elimu yako haijakusaidia!kama bado unawaza ukabila ndani ya Cdm mpaka leo!Chadema wanamuogopa Shibuda kwa kuwa wanahofia nyadhifa zao katika chama zilizokaa kikabila na kikanda. Shibuda ni zaidi yao wote kwa siasa, hawamuwezi.
Kama hajakitaja CHADEMA kila mtu anaweza kutafsiri awezavyo! Kwa mfano naweza kutafsiri kwamba kwa kuwa CCM walipambana naye Maswa hawamwezi tena kwa kuwa anapendwa na Wana-Maswa!Unless kama uliingia kichwani kwa Shibuda huwezi kubishana na mimi!
FF you got it all wrong
shibuda anatafuta pa kuegema hana llote huyu.....na hawezi kukwepa kama kweli chadema wakiamua kumtosa......
lakini pia hili liwe fundisho kwa chadema...waliambiwa sanajuu ya kumpokea mamluki huyu......tena nakumbuka kiranga na Rev kishoka walikuwa mstari wa mbele lakini chadema haikusikia......hata miaka mitatu haijaisha tayari jamaa anaoneakana kupwaya
dhambi ya ubaguzi itakupeleka pabaya.
Akifananisha chama hicho na utelezi wa mlenda.
Aonya kamati kuu iliyojadili haina ubavu kumtimua.
Atamba wakithubutu hilo wataona cha mtema kuni.
Adai kukataa posho ni sera za chama kilichoshinda.
Adaiwa kukutana na madiwani,Arusha wapanga siri.
Source gazeti la taifa letu:ijumaa julai 22- julai 28
www.ippmedia.com
Wewe ajuza CDM sio CCM iliyooza,huyo mamluki hana lolote na lazima atoke haijarishi ukanda wala utape.
Mambo vp shosti. Mzima weye? Ushakula urojo?