mbogo31
JF-Expert Member
- Nov 28, 2008
- 711
- 173
Poleni mnaoumizwa vichwa na mpuuzi kama Shibuda na bado mnabishana na FF, Vtz na wengine.
Hivi mnamfahamu shibuda!?, yeye sebule zake ni kwenye Pombe awe dar awe Maswa, sasa unategemea nini hapo!?
Lengo la Chadema lilitimia kwa kulipata Jimbo la Maswa, wakati ukifika atawekwa mtu mwafaka maswa kisha kazi, soo issue ya Shibuda ni kumzarau tu.
Hivi mnamfahamu shibuda!?, yeye sebule zake ni kwenye Pombe awe dar awe Maswa, sasa unategemea nini hapo!?
Lengo la Chadema lilitimia kwa kulipata Jimbo la Maswa, wakati ukifika atawekwa mtu mwafaka maswa kisha kazi, soo issue ya Shibuda ni kumzarau tu.